Watumishi majizi na wazembe Sekta ya Afya ndiyo wanaoongoza kumpinga Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima

Zunguka famasi zote mjini kanunue dawa kama utapata ya GOT, hakuna mfanyabiashara mjinga anaweza uza dawa za GOT. Na ndio maana husikii serikali ikisema imekamata dawa zake zikiuzwa sehemu fulani. Na kama unafuatilia kwa makini utagundua hizi kelele za wizi wa dawa hakuna mtu anakamatwa na bado hakuna dawa hospitalini. Nimekwambia swala la dawa hospitalini ni pana zaidi ya ngonjera za kuwa watumishi wanaiba
fanya homework yako vizuri.
 
Kuna uhaba mkubwa wa dawa kwenye vituo vya afya kutokana na serikali kutotoa bajeti ya kutosha, sasa hizo dawa zinazoibiwa ni zipi? acheni uduwanzi..
 
Sawa mtoto wa FILD MASHO
Pata dawa kidogo
IMG-20210117-WA0078.jpeg
 
Sio kwamba wizi utaumaliza lakini njaa ni kishawishi kikubwa sana!!wala tatizo la ukosefu wa dawa mahospitalini sio wizi wa madawa!!tu bali bajeti haitosherezi kupeleka madawa, juzi nilikuwa wilaya ya tanganyika ni aibu!!viongozi wasitafute watu wa kuwatwisha mzigo!!
Ukiangalia yaliyotokea Ukerewe, sababu ni nini? Kwa nini dawa zirundikane stoo wakati wagonjwa hawapewi? What is behind? Lazima kuna njia ya matumizi mabaya ya dawa hizo. Tusilaumu Waziri.
 
Ujinga mtupu.

Haya ndio mlimdanganya Jiwe kua wanyonge wanakukubali kwa utendaji kazi.

Matokeo yake wanyonge wakaamua kumuonyesha kua Wamemchoka.

Huwezi Kua kuongozi Bora kwa utopolo kama wa huyu WZR
 
Dkt.Gwajima ni mama wa kipekee sana, hana ubabaishaji na uzalendo wake ni wa kiwango cha juu sana. Mungu ampe maisha marefu aweze kufanya mabadiliko tunayotaka na ikimpendeza Mungu zaidi amuweke zaidi ya hapo.

Sidhani kama Dr. Gwajima anawakataza madaktari kwenda kufanya kazi kwenye hospitali binafsi; tatizo linakuja pale wanapotumia muda wanaotakiwa kufanya kazi kwenye hospitali za serikali na badala yake kwenda kwenye hospitali binafsi!! Kufanya hivyo madaktali wanakuwa wezi kwani wanadai kulipwa kwa kazi ambayo hawajafanya!!!
Dr. Gwajima anastahili kuungwa mkono; ningemshauri tu afanye kazi yake kimya kimya bila mayowe na aache kutembea na hue mtandio wa bendera ya Taifa kwani uzalendo wake utaonekana kwa kazi atakayofanya na sio kwa kuonenesha uzalendo kwa bendera huo unakuwa unafiki!!! Mama usije ukawa kama Kangi Lugora aliyekuwa anatembea na katiba kumbe ilikuwa janja yake ya kuficha ufisadi wake!!!
 
Ujinga mtupu.

Haya ndio mlimdanganya Jiwe kua wanyonge wanakukubali kwa utendaji kazi.

Matokeo yake wanyonge wakaamua kumuonyesha kua Wamemchoka.

Huwezi Kua kuongozi Bora kwa utopolo kama wa huyu WZR
Ili useme dawa haziibwi lazima uwe na ushahidi wa amekunywa nani.
.1. Ziwe ziliingia stoo ya dawa na kurekodiwa kwenye kitabu husika.
2. Zinapotoka zionekane kumbukumbu za aliyeomba na aliyepokea.
3. Zinapoenda kwa mgonjwa risiti ya mgonjwa aliyepewa iwepo nakala moja kituoni na ingine aende nayo mgonjwa.

Hivi ni vitu muhimu. Sasa vituo vingi hicho cha pili na cha tatu havipo. Unaweza kusema nini hapo. Je unaweza kwenda benki ukaweka hela ukaondoka bila risiti?? Sasa inakuwaje mgonjwa apewe dawa asipewe risiti??

Huyu mama hamtamshinda kwa kelele. Kwanza asili yake hanaga hata muda wa kujadili vitu ambavyo havina data.
 
Maccm hamkosi sababu

Yule bibi ni hovyo...
Ili useme dawa haziibwi lazima uwe na ushahidi wa amekunywa nani.
.1. Ziwe ziliingia stoo ya dawa na kurekodiwa kwenye kitabu husika.
2. Zinapotoka zionekane kumbukumbu za aliyeomba na aliyepokea.
3. Zinapoenda kwa mgonjwa risiti ya mgonjwa aliyepewa iwepo nakala moja kituoni na ingine aende nayo mgonjwa.

Hivi ni vitu muhimu. Sasa vituo vingi hicho cha pili na cha tatu havipo. Unaweza kusema nini hapo. Je unaweza kwenda benki ukaweka hela ukaondoka bila risiti?? Sasa inakuwaje mgonjwa apewe dawa asipewe risiti??

Huyu mama hamtamshinda kwa kelele. Kwanza asili yake hanaga hata muda wa kujadili vitu ambavyo havina data.
 
Mzani unaegemea upande mmoja mmeshindwa kuboresha maslahi why wizi usitokee? Boresheni maslahi muone kama wizi utakuwepo
Kwahiyo unaiba kisingizio maslahi duni? Hivi unafahamu kuwa hospitali za rufaa za mikoa zinauwezo wa kujiendesha kwa kutumia mapato yake ya ndani yakisimamiwa vizuri bila kutegemea ruzuku toka serikali kuu?
Acheni wizi
 
Mbona mnatumia nguvu nyingi sana?

Wewe ni mhudumu wa Afya.?
 
Sijui kwa nini tunaweka visingizio dhifu kiasi hiki! Stahiki ndo ikufanye uibe dawa? Nchi gani inayotoa stahiki na imekomesha wizi? Wizi ni tabia tu!
Wanazidi kujionyesha tabia zao hadharani kwa kisingizio cha maslahi
 
Najua kuna ubadhirifu na uzembe mkubwa kwenye Wizara zetu, bahati mbaya hawa viongozi wanamchukulia kila mtu aliyeko mbele yao kama ni mwizi na mzembe, ubaya zaidi hao viongozi ndio team yao ya kuleta maendeleo. Kwa speed hii inamaana atapaswa awaondoe viongozi wote alionao katika ngazi zote, la sivyo watamwangusha.
 
Unajua mojawapo ya wizara zilizokuwa na wizi wa ki mfumo ni hii wizara ya afya.
Kuanzia juu kule MSD mpaka huku chini wilayani.

Kwa hiyo tuelewe kabisa kwamba mama Dorothy Gwajima waziri wa afya,anapambna na genge hatari la wezi wa madawa ndani ya wizara hiyo.

Ni genge hatari sababu wengi wao wana elimu na ukwasi mkubwa kutokana na fedha haramu walizojichotea kwa muda mrefu.
Sasa amekuja game changer na ndio maana tunaona mercenaries wa keyboards wameanza majungu mitandaoni.

Huyu mama ndio type sahihi ya mawaziri wa kasi ya JPM.
Muacheni achape kazi.amepambana sana hadi kufika hapo alipo.

Imagine ukerewe mtumishi wa afya alifunguliwa kesi ya wizi wa madawa katika hospitali,akahukumiwa kulipa fidia mil 100shs na akalipa on the spot.

Halafu mimi nadhani serikali inapaswa kumpa ulinzi wa ziada huyu mama kulingana na unyeti wa suala analopambana nalo.

VIVA MH, DOROTHY GWAJIMA
 
Unajua mojawapo ya wizara zilizokuwa na wizi wa ki mfumo ni hii wizara ya afya.
Kuanzia juu kule MSD mpaka huku chini wilayani.

Kwa hiyo tuelewe kabisa kwamba mama Dorothy Gwajima waziri wa afya,anapambna na genge hatari la wezi wa madawa ndani ya wizara hiyo.

Ni genge hatari sababu wengi wao wana elimu na ukwasi mkubwa kutokana na fedha haramu walizojichotea kwa muda mrefu.
Sasa amekuja game changer na ndio maana tunaona mercenaries wa keyboards wameanza majungu mitandaoni.

Huyu mama ndio type sahihi ya mawaziri wa kasi ya JPM.
Muacheni achape kazi.amepambana sana hadi kufika hapo alipo.

Imagine ukerewe mtumishi wa afya alifunguliwa kesi ya wizi wa madawa katika hospitali,akahuumiwa kulipa fidia mil 100shs na akalipa on the spot.

Halafu mimi nadhani serikali inapaswa kumpa ulinzi wa ziada huyu mama kulingana na unyeti wa suala analopambana nalo.

VIVA DOROTHY GWAJIMA
 
Mahospitalini Kuna ubadhirifu wa fedha za umma kupitia WIZI wa MADAWA, kuchukua rushwa kwa Wagonjwa, kufanya uharibifu wa makusudi wa vifaa tiba ili visiwe vinafanya kazi na kisha wagonjwa waelekezwe hospitali binafsi za watumishi hao.....
Huna unachojua wewe kaa kimia, kwani huyo alipi kua DMO, RMO, MKURUGENZI WA TIBA hakuna waliokua wanaiba, na je unaniambia pamoja na serikali hii kujifanya kuwa wakali, kwenye wizara zingine hakuna wizi, mbona kipindi hiki ndo watu wanaiba Sana KWA mahesabu mwanana, watu wanapiga pesa za maana ,

Alafu unakuja na polojo eti wanaomsema ni majizi, KWA nini mnajitoa ufaham sana,hata mwenyewe inawezekana huko nyuma kaiba Sana, leo anajifanya msafi maana hakuna watu walikua wezi Kama maDMO wa enzi zake
 
Be informed kwamba dawa za serikali zina chapa ya GOT, Tena sio kwenye makasha tu bali mpaka kidonge chenyewe waweza kuta neno GOT
Najua wawezapenda waziri anavyopambana, pia Mimi napenda wapambanaji ila tupambane kwa kuzingatia ukweli na tija.
Kama wezi wapo wakamatwe, washtakiwe tusonge mbele, ila kupiga kelele kila siku tunaibiwa halafu hatupewi mwizi!!!!!!!!!
Hata mkuu serikali hii imevuruga Sana uhagizaji na upokeaji wa dawa kwenye vituo vya afya, kulikuepo mfumo wa wa ILS GATWAY huu mfumo ulikua mzuri dawa zilikua hazikauki vituon Kama Sasa, Huyo waziri KWANZA ajaribu fanya utafiti kwamba je huu mfumo uliopo wa uhagizaji dawa kwenye vituo wanaotumia una tija.

Alafu utasikia siasa eti mgonjwa asikose dawa kituoni ,ni Tabibu mjinga atakae kubali hili, kwamba mgonjwa anaumwa kichocho , dawa yake haipo so nimpe dawa nyingine ili kumridhisha, nitamuandikia dawa hata Kama haipo akanunue alihali najua akinywa atapona na hicho ndo kiapo Chao, sio mnaleta siasa hapa Yani mgonjwa akifika akaambiwa dawa hii hamna kanunue anampigia sim Mara nani ,Mara waziri ,alafu utasikia wanamaduka yao , Mara wezi.

Wananchi msipojiongeza na Hawa wanasiasa magonjwa yenu yataota usugu na mtakufa, fuata dactari wako anachokwambia hachana na Hawa wanasiasa
 
Be informed kwamba dawa za serikali zina chapa ya GOT, Tena sio kwenye makasha tu bali mpaka kidonge chenyewe waweza kuta neno GOT
Najua wawezapenda waziri anavyopambana, pia Mimi napenda wapambanaji ila tupambane kwa kuzingatia ukweli na tija.
Kama wezi wapo wakamatwe, washtakiwe tusonge mbele, ila kupiga kelele kila siku tunaibiwa halafu hatupewi mwizi!!!!!!!!!
Wizi sio lazima uwe kwenye dawa, kuiba wagonjwa na muda huo ni wizi mkubwa sana
 
Back
Top Bottom