ThaGreatman
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 708
- 1,465
Nimekuwa nikiona matangazo ya mara kwa mara kuhusu nyumba zinazojengwa na watumishi housing company, nilivutiwa (kwa kuwa matangazo yao ni manono)
Nilipowapigia simu wakanielekeza kwenda ofisini kwao, (Jubilee Tower Floor ya nne). Nikaenda mpaka pale na kupewa maelekezo kadhaa....nikaambiwa Bei za nyumba (zipo mkoani) nikaambiwa bei Mil.68 kwa nyumba ya vyumba 3 (kimoja master,sebule, jiko na public toilet).
Nikaamua kuchagua hiyo, yenye 3 bedrooms na kupewa form ya kujaza then niirudishe ikiwa imejazwa vizuri (Nilifanya hivyo)
Kilichonishangaza ni kwamba siku nairudisha hiyo fomu, nikakutana na kitu kipya kabisa kwenye swala la malipo
Nyumba niliyoambiwa ni milioni 68, nikaambiwa nitatakiwa kuwa nailipia sh.laki 8 kila mwezi, kwa miaka 15,(yaani 800,000×12×15= Tsh.144,000,000/= (Najiuliza kwa bei hii kwa nyumba ya vyumba 3, unakuwa umemsaidia mteja au unamkamua kisawa sawa?)
Nilipomuuliza sababu za bei kuwa kubwa tofauti na tangazo la awali la mil.68 akanambia ni kwa sababu ya kulipia kwa mkopo,(yaani unailipia huku ukiwa unaishi ndani ya nyumba yenyewe) lakini najiuliza hii riba ya kutoka mil.68 mpaka mil.144 imekaaje?
Watumishi Housing Company, wapo kwa dhana ya kumsaidia mtumishi au kumnyonya? (watumishi wote ,ie umma na sekta binafsi, wote wanaweza kuzinunua hizo nyumba kwa kadri ya advertisement yao)
Jamani, tujipangeni mdogo mdogo tu tujenge, kama hali yenyewe ndiyo hii unaweza jikuta miaka 50 hii hapa na nyumba hauna....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipowapigia simu wakanielekeza kwenda ofisini kwao, (Jubilee Tower Floor ya nne). Nikaenda mpaka pale na kupewa maelekezo kadhaa....nikaambiwa Bei za nyumba (zipo mkoani) nikaambiwa bei Mil.68 kwa nyumba ya vyumba 3 (kimoja master,sebule, jiko na public toilet).
Nikaamua kuchagua hiyo, yenye 3 bedrooms na kupewa form ya kujaza then niirudishe ikiwa imejazwa vizuri (Nilifanya hivyo)
Kilichonishangaza ni kwamba siku nairudisha hiyo fomu, nikakutana na kitu kipya kabisa kwenye swala la malipo
Nyumba niliyoambiwa ni milioni 68, nikaambiwa nitatakiwa kuwa nailipia sh.laki 8 kila mwezi, kwa miaka 15,(yaani 800,000×12×15= Tsh.144,000,000/= (Najiuliza kwa bei hii kwa nyumba ya vyumba 3, unakuwa umemsaidia mteja au unamkamua kisawa sawa?)
Nilipomuuliza sababu za bei kuwa kubwa tofauti na tangazo la awali la mil.68 akanambia ni kwa sababu ya kulipia kwa mkopo,(yaani unailipia huku ukiwa unaishi ndani ya nyumba yenyewe) lakini najiuliza hii riba ya kutoka mil.68 mpaka mil.144 imekaaje?
Watumishi Housing Company, wapo kwa dhana ya kumsaidia mtumishi au kumnyonya? (watumishi wote ,ie umma na sekta binafsi, wote wanaweza kuzinunua hizo nyumba kwa kadri ya advertisement yao)
Jamani, tujipangeni mdogo mdogo tu tujenge, kama hali yenyewe ndiyo hii unaweza jikuta miaka 50 hii hapa na nyumba hauna....
Sent using Jamii Forums mobile app