Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
hahahaha wacha kabisaTeeeeeeeeh teeeeeeeeh, ndio maana hapendi kukaa sana bongo
hahahaha wacha kabisaTeeeeeeeeh teeeeeeeeh, ndio maana hapendi kukaa sana bongo
Hii ngumu sana. Nawe ungefanya kama anavyofanya sasa.Inekuwa Mimi ni raisi ningepokonya mali zote tuanze upya
Naona mnataka kumuuwa mkwere kwa pressure
Huyu mkwere sasa naona atahamia kwa obamaSote tutafariki. Lakini ni bora kufa kwa pressure kuliko kufa kwa kukatwa kiungo kimoja kimoja.
Uongozi wa awamu ya 3&4 ulikuwa kwenye usingizi zaidi ya ule wa pono!
Haya manoti yote yalikuwa yanaishia mifukoni mwa mafala wachache ndo maana wakatutukana sie malofa!
Magufuli jenga jela maalum kwajili ya hawa mabaladhuri wakahenyweshwe huko.
jf raha sana nimecheka kweli, yaani hewa anyanganywe vyeti sasa angekuwa na vyeti angeitwa hewa?Umenichekesha sana....huyo mtumishi unayetaka afutwe kazi na anyang'anye vyeti, ni yupi sasa? wakati umeshaambiwa ni hewa! Ukiambiwa mtumishi hewa, ujue hakuna mtu ni jina tu ndo lipo"
Naona mnataka kumuuwa mkwere kwa pressure
Hakutumia weledi kama kiongozi kutoa majibu mepesi bila kufanya tafakuri ya kina hicho ndio kimemponza.
Halafu Jk Alikuwa hajui kwa nini Tanzania ni maskini.!
Issue ya watumishi he was ilikuwepo hata enzi za Mwalimu NYERERE, hii ni continuation.Naona mnataka kumuuwa mkwere kwa pressure
TUKUBALI TUSIKUBALI, UONGOZI NI DHAMANA, NA SI KILA MTU ANWEZA KUONGOZA, KUNA WATU KUONGOZA HAWAWEZI KABISA, HAWA NDO JAMII YA AKINA JK, NA HII WATANZANIA MUITUMIE KAMA CASE STUDY KWA MAISHA YENU YA BAADAE.
Kwa hiyo wewe unashaurije?Issue ya watumishi he was ilikuwepo hata enzi za Mwalimu NYERERE, hii ni continuation.