Watumishi hewa ndani ya Ikulu

Watumishi hewa ndani ya Ikulu

Utakuta majina hewa yote hela zote zinaingia kwa mtu mmoja ila akaunti tofauti wa 4
 
Rais Magufuli. Mkombozi wetu. Safi sana mheshimiwa. Safisha kila sehemu
 
Duh kazi ipo.Kama ni fedha za umma kuliwa basi watu wamechuma sana.Nadhani siyo mtandao mdogo huo.Mr.President should press further.Kuna baadhi ya wafanyakazi watiifu/waadilifu sana kwenye Utumishi wa umma na wanachapa kazi kweli kweli lakini huwa hawaonekani,kuna mmoja namfahamu walau amepata unaibu Waziri.Hawa huwa hawapendwi,hupewa majina ya kila aina-mnoko yule,anajifanya mlokole,anajipendekeza,anafanya kazi sana kwa ajili ya sifa,nk.
 
Kuendesha nchi bila kufuata taratibu au kihuni huni na kifisadi ni kuharibu nchi. Mwisho wake Tanzania ingeishiA kuwa kama Zaire tu, nchi tajiri wa kila kitu lakini kutokana na ufisadi ni li nchi la ovyo tu

Tengeneza nchi mheshimiwa Rais. Umma uko nyuma yako
 
Hivi Rais hawezi fanya kazi halafu ndio atupe mrejesho,hayo maagizo na katibu mkuu wangepeana huko wanakojua wafanye kazi,wawaondoe hao watumishi hewa na wanaouhisika wafunguliwe mashtaka ndio aje kwenye media aseme,ndugu watz tulikuwa na matatizo 1,2,3 nimechukua hatua 1,2,3 na matokeo yake yakawa 1,2,3.Isiwe tu misifa halafu baadae kimya.
 
  • Rais Magufuli asema watumishi hewa wamejaa mpaka Ikulu, Ofisi ya Waziri mkuu, Majeshini etc.
  • Amuagiza Katibu mkuu kiongozi kuunda "task force" yenye ulinzi maalumu ku-deal na watumishi hewa.
  • 10% ya mishahara yote nchini hulipwa kwa watumishi hewa.
  • Serikali yapoteza Tshs Billioni 54 kwa mwezi, sawa na zaidi ya Billioni 648 kwa mwaka kulipa mishahara ya watumishi hewa.
IKULU%20DAR%20JENGO.jpg

PRESIDENT John Magufuli yesterday exposed the presence of 'ghost workers' in his own office, saying an ongoing nationwide search for fake civil servants has revealed that the problem of payroll fraud is prevalent in virtually every public office in the land.

"They (ghost workers) are everywhere ... even in the President's Office, the Prime Minister's Office, the armed forces ... everywhere," Magufuli said yesterday in a State House address.

"Some 4,236 ghost workers have been identified in local government authorities. There are also more than 1,000 such workers at the central government level," he stated.

He noted that while the government spends 583 billion/- each month to pay civil service salaries, an estimated 54 billion/- of that amount is apparently being pinched in the name of phantom workers.

"There are ghost workers in the health ministry, the ministry of finance, everywhere. Every government ministry has ghost workers."

He ordered the State House Chief Secretary, John Kijazi, to ensure that the special task force was provided with enough security and protection to allow them to carry out surprise inspections of government offices as and when directed to do so by the president himself.

Magufuli reiterated his regular caution that the culture of "business as usual" is unacceptable in his administration, further warning that public officials will continue to be taken to task if they fail to do their jobs.

"Tanzanians as a people are suffering while public funds are being squandered. The funds spent in paying ghost workers’ salaries could have been used to finance real development projects," he said.

"I expect all of us who have been entrusted with public leadership positions to take our responsibilities seriously because this country had reached a terrible state," he added.

Source: The Guardian

My take: Hii fedha inayopotea kwa mwaka mmoja tu kulipa watumishi hewa inatosha kabisa kuchonga madawati 6,000,000 tukafuta kabisa tatizo la watoto kukaa chini maana mahitaji ya madawati kwa Tanzania ni Milioni 3.5 kwa shule za msingi na Milioni 2.7 kwa shule zetu za Secondary


Kwakuwa account zilikoingia hizo fedha zinajulikana basi ufanyike utaratibu wa kwenda kuzifuata pamoja na riba
 
Kwahio msimu wa report wanaandika report? msimu wa Performance Appraisal wanafanya? hii kali sana
 
Hapa watu chunguzeni wake zenu vizuri maana wa weza kuta nae nihewa tu!
 
Aisee kumbe nchi ilikuwa imezama, kila siku tunalia mishahara haitoshi kumbe wakiongeza tu inajaza matumbo ya watu

Mkuu, Yaani nchi ilikuwa imefikia pabaya. Huwezi kuamini kuna sehemu hawa Makatibu Wakuu wa Wizara na wakuu wa taasisi za serikali walikuwa wakishirikiana kutengeneza hizi deal.
 
  • Rais Magufuli asema watumishi hewa wamejaa mpaka Ikulu, Ofisi ya Waziri mkuu, Majeshini etc.
  • Amuagiza Katibu mkuu kiongozi kuunda "task force" yenye ulinzi maalumu ku-deal na watumishi hewa.
  • 10% ya mishahara yote nchini hulipwa kwa watumishi hewa.
  • Serikali yapoteza Tshs Billioni 54 kwa mwezi, sawa na zaidi ya Billioni 648 kwa mwaka kulipa mishahara ya watumishi hewa.
IKULU%20DAR%20JENGO.jpg

PRESIDENT John Magufuli yesterday exposed the presence of 'ghost workers' in his own office, saying an ongoing nationwide search for fake civil servants has revealed that the problem of payroll fraud is prevalent in virtually every public office in the land.

"They (ghost workers) are everywhere ... even in the President's Office, the Prime Minister's Office, the armed forces ... everywhere," Magufuli said yesterday in a State House address.

"Some 4,236 ghost workers have been identified in local government authorities. There are also more than 1,000 such workers at the central government level," he stated.

He noted that while the government spends 583 billion/- each month to pay civil service salaries, an estimated 54 billion/- of that amount is apparently being pinched in the name of phantom workers.

"There are ghost workers in the health ministry, the ministry of finance, everywhere. Every government ministry has ghost workers."

He ordered the State House Chief Secretary, John Kijazi, to ensure that the special task force was provided with enough security and protection to allow them to carry out surprise inspections of government offices as and when directed to do so by the president himself.

Magufuli reiterated his regular caution that the culture of "business as usual" is unacceptable in his administration, further warning that public officials will continue to be taken to task if they fail to do their jobs.

"Tanzanians as a people are suffering while public funds are being squandered. The funds spent in paying ghost workers’ salaries could have been used to finance real development projects," he said.

"I expect all of us who have been entrusted with public leadership positions to take our responsibilities seriously because this country had reached a terrible state," he added.

Source: The Guardian

My take: Hii fedha inayopotea kwa mwaka mmoja tu kulipa watumishi hewa inatosha kabisa kuchonga madawati 6,000,000 tukafuta kabisa tatizo la watoto kukaa chini maana mahitaji ya madawati kwa Tanzania ni Milioni 3.5 kwa shule za msingi na Milioni 2.7 kwa shule zetu za Secondary

Nimepiga hesabu ya kugawanya fasta, hii tu tatizo la madawati kwa watot wetu nchi nzima kwa mwaka mooja tu kwishne!!!
 
Hamna ya kunyongwa hawa watu. 1. Wafutwe kazi na anyang'anywe vyeti vyake vyote na kutangazwa
2. Afilisiwe na asiruhusiwe kuwa mwajiriwa sehemu yeyote. Nchi mbona itanyoka
Umenichekesha sana....huyo mtumishi unayetaka afutwe kazi na anyang'anye vyeti, ni yupi sasa? wakati umeshaambiwa ni hewa! Ukiambiwa mtumishi hewa, ujue hakuna mtu ni jina tu ndo lipo"
 
Duh...yaani Anne Kilango hakua na hata aibu kweli mkoa mzima ukose watumishi hewa wakati hata ikulu wapo?
Hakutumia weledi kama kiongozi kutoa majibu mepesi bila kufanya tafakuri ya kina hicho ndio kimemponza.
 
Basi! Mungu ashukriwe kwa kuchagulia Rais Magufuli, nadhani sasa mishahara ya watumishi wa hali ya chini itapanda kwakuwa fedha inayookolewa itafidia kupandishia mishahara watumishi walio chini na bado serikali ikaweza kuendeleza huduma bora

Hiki ni kiama cha mafisadi Tz.

mtizamo ulioko sasa ni fedha inayookolewa kupelekwa maeneo mengine ya huduma za kijamii!!
 
Back
Top Bottom