zambez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 2,071
- 255
Naomba kujuzwa jamani kwa wataalamu, mimi nilikuwa mwajiriwa wa serekali miaka 15 iliyopita baada ya kuamua kurudi shule nikaacha kazi na kulipwa stahiki zangu ila miaka ya 2003 nilisikia mshahara bado unaingia nilipofatilia pale nikaambiwa ukiibgia ubarudishwa sasa sijui labda na jina labgu bado liko huko au vipi, kwa nini tusiwekewe majina ili tujue na tukatoe ushahidi ili hao watu wafungwe???@zambez dr. Mifugo zamani....Arusha town