Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,700
- 9,779
Poleni na majukumu ya hapa na pale ya kulijenga taifa. Nahisi mmejiandaa vyema kuhesabiwa.
Kuna mtu nilikuwa nafanya nae kazi ya kutangaza bidhaa online kupitia instagram. Juzi tumekorofishana, katika harakati za kupozea machungu yake kaamua kufuta hiyo business account ya instagram ambayo kiukweli username yake imezoeleka kwa wengi.
Nilivyojaribu ku create account nyingine kwa email iliyokuwa kwenye account iliyofutwa, team ya instagram imekataa (Access Denied)! Nilipojaribu kutumia email mpya kufungua account mpya kwa username iliyokuwa ikifahamika, instagram wamekataa pia! Siwezi kuunda account mpya yenye username jipya maake nitapoteza attention kwa wateja!
Hoja yangu ni kuwa:
- Ninatakiwa kusubiri kwa muda gani (siku ngapi) ili email hii iliyofutiwa account iweze kuruhusiwa tena kutumika kufungua account nyingine?
- Ninatakiwa kusubiri kwa siku ngapi ili nifungue account yenye username sawa na hii lililotumika kwenye account iliyofutwa?
Msaada tafadhari!
Kuna mtu nilikuwa nafanya nae kazi ya kutangaza bidhaa online kupitia instagram. Juzi tumekorofishana, katika harakati za kupozea machungu yake kaamua kufuta hiyo business account ya instagram ambayo kiukweli username yake imezoeleka kwa wengi.
Nilivyojaribu ku create account nyingine kwa email iliyokuwa kwenye account iliyofutwa, team ya instagram imekataa (Access Denied)! Nilipojaribu kutumia email mpya kufungua account mpya kwa username iliyokuwa ikifahamika, instagram wamekataa pia! Siwezi kuunda account mpya yenye username jipya maake nitapoteza attention kwa wateja!
Hoja yangu ni kuwa:
- Ninatakiwa kusubiri kwa muda gani (siku ngapi) ili email hii iliyofutiwa account iweze kuruhusiwa tena kutumika kufungua account nyingine?
- Ninatakiwa kusubiri kwa siku ngapi ili nifungue account yenye username sawa na hii lililotumika kwenye account iliyofutwa?
Msaada tafadhari!