Watumiaji wa Iphone ni wana shida fulani ya akili

Watumiaji wa Iphone ni wana shida fulani ya akili

downloadfile-242.jpg
 
TUNAOTUMIA IPHONE HATUNAGA TIME NA WATUMIAJI WA HAYO MADUDE MENGINE

CHA AJABU INAONEKANA WAO NDO WANAUMIA KUONA SISI TUNATUMIA IPHONE AFU WAKATI HUO HUO WANAZIPONDA

UNAWEZA KUWA NA IPHONE 8 PLUS NI YA MUDA ILA UKIITOA NA MTU MWENYE GOOGLE PIXELS YAKE KALI TU ATOE SIMU YAKE WATU WATABAKI KUKUANGALIA WEWE
 
TUNAOTUMIA IPHONE HATUNAGA TIME NA WATUMIAJI WA HAYO MADUDE MENGINE

CHA AJABU INAONEKANA WAO NDO WANAUMIA KUONA SISI TUNATUMIA IPHONE AFU WAKATI HUO HUO WANAZIPONDA

UNAWEZA KUWA NA IPHONE 8 PLUS NI YA MUDA ILA UKIITOA NA MTU MWENYE GOOGLE PIXELS YAKE KALI TU ATOE SIMU YAKE WATU WATABAKI KUKUANGALIA WEWE
Acha ushamba
 
I phone ni kwa ajili ya wanawake
Ukimuona mwanaume anatumia i phone huyo sio mwanaume
mumegeuka ile hadithi ya sungura alipozikosa zabibu akasema sizitaki hizi mbichi.

kama fedha za kununua hamuna si munyamaze tu, mara wanatumia wanawake, wengine ati wana mtindio wa ubongo ...... huo wote ni wivu tu.
 
Back
Top Bottom