Watu weusi wana roho mbaya na fikra za hovyo sana, ni wachache sana wenye utu!

Yaani hujakosea kabisa... mtu mweusi ni mweusi mpaka rohoni.... mimi nilikuwa nasikia tu lakini sasa yananikuta najikaza tu.... ndio maana kale ka uzi ka Tammy Abraham kuukana unaijeria nimeona yuko sahihi kabisa

Yuko sahihi 100%, weusi tuna roho zimejikunja sana.
 
Watu weusi wana roho mbaya sana mwaka wa NNE huu natongoza mademu sikubaliwi

Nkihitaji papuchi inanibidi nikanunue....
Wakati leñgo langu nikuwa na demu kisha baadae awe mke....

Hata mademu wa humu wana roho mbaya sijui nao ni weusi
 
Watu weusi wana roho mbaya sana mwaka wa NNE huu natongoza mademu sikubaliwi

Nkihitaji papuchi inanibidi nikanunue....
Wakati leñgo langu nikuwa na demu kisha baadae awe mke....

Hata mademu wa humu wana roho mbaya sijui nao ni weusi

:D :D
 
Ndio maana mwafrika ni mweusi, uweusi una unasadifu ushetani. Tunaambiwa hata shetani ni mweusi(giza) wengi tunaamini hivyo.
 
Aisee umenikumbusha kisa changu. Walikuja wajapani kwa ajili ya kufanya mradi uliofadhiliwa na serikali ya Japan na nikapangiwa kufanya kazi nao. Wakamuuliza bosi wangu nilipwe kiasi gani?. Pesa aliyosema bosi walishangaa sana. Wakamwambia bosi hiyo pesa ni kidogo sana. Bosi akasema siwezi kulipwa zaidi ya hiyo. Hapo fikiria hii pesa ni ya kwao. Nikamwambia bosi si waache waamue wenyewe wanilipe kiasi gani. Bosi alipanipandishia hasira na kusema siwezi kulipwa zaidi ya hizo. Wale wajapan walishangaa sana. Tukaenda mzigoni, baada ya wiki wale wajapani wakaamua wao wenyewe wanilipe ngapi. Nikawa kila ijumaa ninalipwa pesa yangu nzur tu na bosi hakujua. Nikafanikiwa kujenga nyumba. Nikafanya makosa kuchukua gari ya ofisi kunihamisha maana bosi alipata habari kwamba nimejenga nyumba. Nikaitwa ofisini na yaliyoendelea siwezi kuyasema. Story ni ndefu lakini baadaye niliamua kuacha kazi. Anyway aliyekuwa bosi wangu ni marehem sasa hivi. Mungu ailaze vema roho ya marehemu. Huyu bosi alikuwa msomi mzuri tu na sikutegemea yeye kuwa vile. Baadhi ya watu weusi tuna shida sana.

Visa ni vingi tu vya mtu mweusi anavyomnyanysa mwenzake mweusi na kutopenda mwenzetu aendelee mbele. Ukiangalia yanayotendeka bungeni ambayo ni ya kusikitisha, chuki za ajabu kwa ajili ya itikadi. Tunajiuliza sisi ni watu wa aina gani?
 
Aisee umenikumbusha kisa changu. Walikuja wajapani kwa ajili ya kufanya mradi uliofadhiliwa na serikali ya Japan na nikapangiwa kufanya kazi nao. Wakamuuliza bosi wangu nilipwe kiasi gani?. Pesa aliyosema bosi walishangaa sana. Wakamwambia bosi hiyo pesa ni kidogo sana. Bosi akasema siwezi kulipwa zaidi ya hiyo. Hapo fikiria hii pesa ni ya kwao. Nikamwambia bosi si waache waamue wenyewe wanilipe kiasi gani. Bosi alipanipandishia hasira na kusema siwezi kulipwa zaidi ya hizo. Wale wajapan walishangaa sana. Tukaenda mzigoni, baada ya wiki wale wajapani wakaamua wao wenyewe wanilipe ngapi. Nikawa kila ijumaa ninalipwa pesa yangu nzur tu na bosi hakujua. Nikafanikiwa kujenga nyumba. Nikafanya makosa kuchukua gari ya ofisi kunihamisha maana bosi alipata habari kwamba nimejenga nyumba. Nikaitwa ofisini na yaliyoendelea siwezi kuyasema. Story ni ndefu lakini baadaye niliamua kuacha kazi. Anyway aliyekuwa bosi wangu ni marehem sasa hivi. Mungu ailaze vema roho ya marehemu. Huyu bosi alikuwa msomi mzuri tu na sikutegemea yeye kuwa vile. Baadhi ya watu weusi tuna shida sana.

Visa ni vingi tu vya mtu mweusi anavyomnyanysa mwenzake mweusi na kutopenda mwenzetu aendelee mbele. Ukiangalia yanayotendeka bungeni ambayo ni ya kusikitisha, chuki za ajabu kwa ajili ya itikadi. Tunajiuliza sisi ni watu wa aina gani?
Boss haya mambo huwa yanashangaza sana, sijui hata tatizo huwa ni nini?
 
Hii ni shida ya mtu mwenye ngozi nyeusi...

Hata mawaziri waliwahi kuwashawishi makampuni makubwa kama Accacia yapunguze mishahara kwa raia wa Tanzania..huku wageni wakiachwa wanalipwa mamilioni ya pesa

Waliowahi kufanya kazi migodini wanalijua hili
 
Hii ni shida ya mtu mwenye ngozi nyeusi...

Hata mawaziri waliwahi kuwashawishi makampuni makubwa kama Accacia yapunguze mishahara kwa raia wa Tanzania..huku wageni wakiachwa wanalipwa mamilioni ya pesa

Waliowahi kufanya kazi migodini wanalijua hili
Duh..! Waziri?
 
Hivi mfano mlevi umlipe 50K kwa siku, tena Enzi hizooo kesho yake atarudi kazini?

Asipokuja si unachukua mwingine ivi mtu anatumia nguvu kama kibarua kweli umlipe 10000 wakati chance ya kumlipa 50000 ipo looh jamani....
 
kuna siku niliamini mtu mweusi ni nyoko ilitokea wazungu walipanda mlima kilimanjaro.kiutaratibu siku ya mwisho kushuka wazungu huita crew nzima ya wapagazi(porters)na kuwavunja dolari kwenye bahasha kila 1 huku wakiwaita majina!.malipo elekezi huwa yapo lakini wageni wakifurahi sana huongeza.
siku hiyo wageni wakamwita guide aite crew yake wapewe bahasha zao.muongoza watalii akashtukia kwamba hapa bila plan hawa jamaa watanizidi basi alichofanya aliwaita wale wagumu(porters) kisha akawarushia biskuti,ndizi na choklet.aseee walivyoanza kuparangana hapo vurugu guide akawaambia yaani mkiwaonyesha hizo ela ndo watagombania hivyo wanaweza hata kuwaumiza!hahaha ikabidi wazungu wampe yeye aje wagaia!na kama kawaida anawachinjia baharini kwa kuwalipa kidogo.nyie guides wa milimani acheni roho za kinyama za dhulma
 
This is a case of "mistaken identity"
An immoral sin to humanity and the most high. Detestable.
 
kuna siku niliamini mtu mweusi ni nyoko ilitokea wazungu walipanda mlima kilimanjaro.kiutaratibu siku ya mwisho kushuka wazungu huita crew nzima ya wapagazi(porters)na kuwavunja dolari kwenye bahasha kila 1 huku wakiwaita majina!.malipo elekezi huwa yapo lakini wageni wakifurahi sana huongeza.
siku hiyo wageni wakamwita guide aite crew yake wapewe bahasha zao.muongoza watalii akashtukia kwamba hapa bila plan hawa jamaa watanizidi basi alichofanya aliwaita wale wagumu(porters) kisha akawarushia biskuti,ndizi na choklet.aseee walivyoanza kuparangana hapo vurugu guide akawaambia yaani mkiwaonyesha hizo ela ndo watagombania hivyo wanaweza hata kuwaumiza!hahaha ikabidi wazungu wampe yeye aje wagaia!na kama kawaida anawachinjia baharini kwa kuwalipa kidogo.nyie guides wa milimani acheni roho za kinyama za dhulma
Duh..!!
 
Hayo ni matokeo ya umasikini, kutojiamiani kwenye Taaluma, matokeo yake mhusika anajipendekeza kwenye mambo yasiyo na msingi ikiwemo kuwanyonga wazawa ili na yeye aonekane kuwa ni productive kwenye taasisi
 
Hayo ni matokeo ya umasikini, kutojiamiani kwenye Taaluma, matokeo yake mhusika anajipendekeza kwenye mambo yasiyo na msingi ikiwemo kuwanyonga wazawa ili na yeye aonekane kuwa ni productive kwenye taasisi
Mkuu mbona wengine Wana taaluma nzuri tu lakini Wana roho hizi
 
Back
Top Bottom