Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,936
- 3,940
Its simple ndugu zangu, hebu tumuangalie mtu mweusi anapopata pesa jinsi anavyovaa na vitu anavyomiliki. Utakuta amenunua vitu vingi hata asivyohitaji, na mara nyingi tu ili kuimpress watu ambao hawajui na wala hata hawana time na yeye.
Mtu mweusi ni mlalamikaji namba moja ila akipata ndio mtumiaji namba moja. Sisemi kwamba hakuna watu weupe wasio spend pakubwa ila wengi wao wako simple sana especially matajiri wao sio watu wa kushow off.
Mtu mweusi mid income tu huyo tayari ameshaanza kupangishia mchepuko, Mtu mweusi ni bingwa wa style za uvaaaji, cheni za kung'aa, kuandika majina kwenye plate number.
Mtu mweusi anajenga nyumba anarefusha paa linaenda juu zaidi ili hawaoneshe watu angali bora hata angeongeza hata chumba kimoja kama study room kutengenezea watoto norm ya kujisomea.
Mtu mweusi anatumia zaidi ya 50,000 kwa mwezi kwa ajili ya kurekebisha nywele zake alafu anakimbizana na landlord kwenye kulipa kodi, Mtu mweusi ndio bingwa wa kuzungusha round baani kuliko kubadirisha milo mezani kwake.
Mtu Mweusi ndio bingwa wa kutumia pesa nyingi katika kupamba duka kwa gharama kubwa alafu mzigo alionao ndani ya dukani ni trash.
Mtu mweusi ni mlalamikaji namba moja ila akipata ndio mtumiaji namba moja. Sisemi kwamba hakuna watu weupe wasio spend pakubwa ila wengi wao wako simple sana especially matajiri wao sio watu wa kushow off.
Mtu mweusi mid income tu huyo tayari ameshaanza kupangishia mchepuko, Mtu mweusi ni bingwa wa style za uvaaaji, cheni za kung'aa, kuandika majina kwenye plate number.
Mtu mweusi anajenga nyumba anarefusha paa linaenda juu zaidi ili hawaoneshe watu angali bora hata angeongeza hata chumba kimoja kama study room kutengenezea watoto norm ya kujisomea.
Mtu mweusi anatumia zaidi ya 50,000 kwa mwezi kwa ajili ya kurekebisha nywele zake alafu anakimbizana na landlord kwenye kulipa kodi, Mtu mweusi ndio bingwa wa kuzungusha round baani kuliko kubadirisha milo mezani kwake.
Mtu Mweusi ndio bingwa wa kutumia pesa nyingi katika kupamba duka kwa gharama kubwa alafu mzigo alionao ndani ya dukani ni trash.
utagundua wanyakyusa na wanyamwezi waishio huko ni mfano wa vichaa kwenye jamii