Tella Mande
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 494
- 674
Nimekuwa nikiona picha za familia mbalimbali na pale ambapo mmoja wao ana sura au mwili usioumbika vizuri unakuta karibu watoto wotee wanafana na yule mbovu, na yule mzuri anakuwa hajaambulia kitu.
Mtu anakomba mpaka kucha, vudole, size ya mguu nk.
Hii ni kwanini wadau ?
Mtu anakomba mpaka kucha, vudole, size ya mguu nk.
Hii ni kwanini wadau ?