ibesa mau mmezidi na nyinyi kupenda magari; mkija tena piga mchongo wa viwanja vya kiyoyozini... yaani ni bonge la asset... magari cku hizi co inshu! Ukipata robo eka pande za Dege Beach kwa 15 million leo; kesho unauza 500 million; kwahiyo kama vp nikuunganishe kwa jamaa yangu wa ardhi, sema inabidi umwandalie kama laki 7 hv, 2 anakula yeye na 5 zinatembea kwa waungwana watakaopitisha makaratasi na full hati ya makazi. Kuhusu mimi utanifikiria kimtindo... ki JF JF poa, tu!!
Last edited by a moderator: