Self contained haimaanishi choo kiwe chumbani au chumba kiwe chooniUnajua maana ya self contained? Au na wewe ni wale wa kushangaa mavi kujengewa nyumba?
eh ni nini?Self contained haimaanishi choo kiwe chumbani au chumba kiwe chooni
Ni sehemu ya kuishi(chumba au nyumba) che/ye-nye mahitaji muhimu ikiwemo jiko na bafu linalojitegemea kwa matumizi binafsieh ni nini?
Ni kweli, ila zingatia ushauri niliotoaHuduma za vyoo huzingatiwa. Ndio maana kuna Public toilet na self contained bed room.
Lkn we mwamba huu mwandiko mbona kama wewe ni Mwanakijiji kabisaa π€π€ππππ
Noma sana hioo !
ππππππππππNi kweli, nyumba nyingi dar es salaam zina ramani mbaya upande wa self contained. Hawatenganishi Chumba na choo.
Mkuu hebu weka mchoro kutofautisha maana sijaelewa.
ThanksView attachment 3599434
Mfano: 1. Chumba chenye choo, 2. Choo chenye chumba, 3. Self contained
Unajua maana ya self contained? Au na wewe ni wale wa kushangaa mavi kujengewa nyumba?
Unazungumzia choo cha shimo au cha ku-flush?(1) Choo ndani ya chumba lazima kiwe na kuta zake
(2) Choo kinakuwa na mlango wake ambao utatumia kuingia chooni baada ya kuingia chumbani
Kwamba kutokea chooni uweze kwenda nje au kwenye corridor bila kupita chumbani basi hicho kitakuwa choo cha public ,na wewe ukitaka kukitumia eti utoke nje ya chumba ,huo ni usumbufu na mtu yoyote mwenye hela hawezi kukubali.
Choo ndani ya chumba hakijawahi kuwa na shida ,shida ni usafi wako.
Cha kuflush .Kama ni cha shimo kuweka ndani ya chumba hicho sio sahihiUnazungumzia choo cha shimo au cha ku-flush?