Watu wengi hufikiria mfalme wa Uingereza ana mamlaka makubwa lakini uhalisia cheo chake ni cha heshima tu, kavuliwa mamlaka mengi sana, hana nguvu

Watu wengi hufikiria mfalme wa Uingereza ana mamlaka makubwa lakini uhalisia cheo chake ni cha heshima tu, kavuliwa mamlaka mengi sana, hana nguvu

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,455
Mfalme kuwa na mamlaka ya kuongoza serikali

Mamlaka ya kuendesha serikali yako mikononi mwa Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri. Mfalme hawezi kuamua sera za nchi wala kutoa maagizo kwa serikali.

Mfalme kuwa na sauti katika Bunge

Mfalme hawezi kuingia kwenye mijadala ya Bunge wala kupiga kura. Ingawa anafungua rasmi Bunge kila mwaka (State Opening of Parliament), hotuba anayosoma huandaliwa na serikali.

Mfalme kuweza kukataa sheria

Kikatiba, mfalme hutoa tu idhini ya kifalme ili sheria zilizotungwa zipitishwe. ni taratibu ya kifalme tu, hakuna mfalme aliyewahi kukataa kutoa idhini hiyo tangu mwaka 1708 hata kama hakupendezwa na sheria

Mfalme kuweza kuanzisha vita

Ingawa Mfalme ni Kamanda Mkuu wa majeshi ya Uingereza, jukumu hili ni la ishara tu, wenye mamlaka ni Waziri mkuu na serikali. nafasi ya Mfalme katika kutangaza vita ni ya mwisho na ya ishara, sawa na anavyotoa idhini ya kifalme kwenye sheria baada ya Bunge kuzipitisha.

Mfalme umfuta kazi Waziri Mkuu

mfalme kabanwa sana na mfumo mpya wa kidemokrasia hawezi kufanya hivyo, mfalme hutimiza takwa la kumtambua kiongozi wa chama chenye viti vingi Bungeni kuwa waziri mkuu hata kama hampendi na Hawezi kumfuta kazi.

Mfalme kuwa kiongozi wa nchi kwa kila kitu

Ingawa mfalme ni "head of state" wa Uingereza, kazi hii ni cheo cha heshima tu. "Head of government" ni Waziri Mkuu. Mfalme hachukui maamuzi ya kisiasa wala ya kishe
 
Waingereza ni jamii iliyostaarabika sana hata mfalme au malkia akiwa na mamlaka makubwa ni vigumu mno kuyatumia vibaya, Waafrica watawala wao hawana hata mamlaka ya kifalme kikatiba ila wanatawala kama Wafalme na Malkia wakatili.
 
Kama hivyo ndivyo ilivyo kwanini anawagharimu wakipakodi hela nyingi kuihudumia hii familia?
Huyu si ndio tunaambiwa haitaji leseni kuendesha gari?

Mi nadhani nguvu anayo ila hatuioni kwa macho,kwanini wakuu wote wakienda ziara wanaanzia kwake?
 
Huwa nawaheshimu sana kwa mawaziri wakuu kujihudhuru

Yani wakizingua wenyewe huamua kujihudhuru na kuachia madaraka,wanawajibika kwa makosa yao
 
Waingereza nao wana tatizo kubwa tu nalo ni House of Lords hizi Sheria zipo ili kulinda Status Quo Demokrasia ni illusion tu na it is only democracy when things favor the status quo....

As the upper house of Parliament, the House of Lords has many similar functions to the House of Commons. It scrutinizes legislation, holds the government to account, and considers and reports upon public policy. Peers may also seek to introduce legislation or propose amendments to bills.
In contrast to the House of Commons, membership of the Lords is not generally acquired by election. Most members are appointed for life, on either a political or non-political basis.
While it is unable to prevent bills passing into law, except in certain limited circumstances, it may delay the enactment of bills for up to one year. In this capacity, as a body independent from the pressures of the political process, the House of Lords is said to act as a "revising chamber" focusing on legislative detail, while occasionally asking the House of Commons to reconsider its plans.
Unlike the House of Commons, which has a defined number of seats, the number of members in the House of Lords is not fixed. As of 27 September 2025, it has 826 sitting members.


Uwezekano wa Kutoa Mlungula kupata Madaraka
The Cash-for-Honours scandal (also known as Cash for Peerages, Loans for Lordships, Loans for Honours or Loans for Peerages) was a political scandal in the United Kingdom in 2006 and 2007 concerning the connection between political donations and the award of life peerages.

Demokrasia sio One Coat fits All inabidi wenyewe kama Taifa muweze kuona / kujua mnataka nini na vipi mnaweza kukipata kutokana na mazingira na tamaduni zenu

 
Write your reply...umeshindwa kutofautisha kati ya head of state na head of goverment
Head of state anaweza kuwa head of government pia, km Tanzania, Nigeria
Saudi Arabia, UK etc Head of Government ni Waziri Mkuu
Mfalme ni Head of State
Israel, India na Ethiopia nk Head of Government ni PM, Head of. State ni Rais
 
Huwa mnadanganywa kuwa mfalme/malkia wa Uingereza hana nguvu.

1. Lakini kumbuka wimbo wa Taifa wa nchi hiyo unaimbwa "God save the King/Queen"
2. Serikali ya nchi hiyo inaitwa serikali ya King/Queen
3. Na Jeshi la nchi hiyo linaitwa Jeshi la Ufalme (Royal army)

Kila waziri mkuu wa uingereza lazima aombe ridhaa ya mfalme/malkia ili kuunda serikali.
 
Hv umesoma kwa kila aya ambayo umeanza na maneno kama "ijapokuw mfalme.... Lakin mfalme..." kwenye hzo hoja zako?
Usitake kuaminisha watu ujinga, rudi usome upya sheria za kiungozi za england, united kingdom, great britain (common laws).
Nimesema sheria za kiungozi maana uingereza haina "katiba"
 
Waingereza ni jamii iliyostaarabika sana hata mfalme au malkia akiwa na mamlaka makubwa ni vigumu mno kuyatumia vibaya, Waafrica watawala wao hawana hata mamlaka ya kifalme kikatiba ila wanatawala kama Wafalme na Malkia wakatili.
Ubalikiwe sana
 
Back
Top Bottom