Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Kwenye maisha kuna mambo ya ajabu sana kuna watu wema kabisa na mbinguni wataenda ila kwa mifumo na namna fulani fulani ya maisha watu hao wanashindwa kujidisconect na shetani
maisha ni ya ajabu sana utakuta jambazi linadhulumu wafanyakazi wake linateka watu yani ni liharamia lakini kuna watu wema wako nalo wanarafikiana nalo na wanashindwa kujitoa kwalo
mwana jf jiulize ni kwanini iko hivi hata mtaani kwako kuna lijambazi uwaji ila lina marafiki kibao ambao ni wazee wa kanisa mashehe na mapadri hivyo ndivyo maisha yalivyo
karibu tutafakuri pamoja
superbug
maisha ni ya ajabu sana utakuta jambazi linadhulumu wafanyakazi wake linateka watu yani ni liharamia lakini kuna watu wema wako nalo wanarafikiana nalo na wanashindwa kujitoa kwalo
mwana jf jiulize ni kwanini iko hivi hata mtaani kwako kuna lijambazi uwaji ila lina marafiki kibao ambao ni wazee wa kanisa mashehe na mapadri hivyo ndivyo maisha yalivyo
karibu tutafakuri pamoja
superbug