Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,373
Mshua katulia sana.
Mambo poa tu, vipi wewe weekend hii viwanja gani?Mamboo.
Mambo poa tu, vipi wewe weekend hii viwanja gani?
Me good, and you?Hi mambo,
Habari ya uzima wako? December is on, whats the plan?
Me good, and you?
Well, i saw somewhere you were crying for a ride. Uhm, well i think u can convince Me .
Lol!
Tutoke kwenye uzi wa watu mama.
HahaOkay hapa tunatoka, kisha tuelekee wapi?
Mbona hutoi muongozo..!!
Aahahahahahaaa Mie ni mlevi wa magari aiseeh, baada ya Mahaba magari yanashika hatamu, ukinipa gari niendeshe wuuhuuu ntakufurahia.
Do want to offer me a ride, thank you waiting for the pick up point.
Haha
I know - i know
I'll be waiting for you , hapi mtaa wa juu "PM street"
Btw. Chse one, nikufuate na X5,Beemer, Benz au lexus?
Haha, wamechelewa!Aahahahahhaaa Utasababisha mashindano sasa..... usingetaja aina ya usafiri.
Kuna wadada watakuganda na wao wafwate, na kuna wakaka watanifata na private jet wakinishawishi niachane na magari niwe napiga mbwembwe angani aahahahahahaa.
Jokes aside i prefer Benz 😋.