Sasa sijui ni maisha yamekuwa magumu kuliko tulivyozoeya au siku hizi huko kunakoitwa wapenzi kumekuwa na desturi ya kwamba lazima tukiachana tuishie kuuwana!
Sababu ndogo ndogo sana zinaondoa vijana wa kizazi hiki,ukute simu yenyewe ni Tecno tunakoelekea wanawake wasikubali kupewa chochote na ma-boyfriends zao kama hawajaowana ili kuondoa lawama in case mkaachana huyo sheikh naye sijui ni wa Dar yaani anakimbia badala atafute hata gogo ampige nalo kuokoa shari zaidi?
Ibirisi anakitendea haki kitengo cha Uzinzi na uasherati katika viwango.
Watu kusalitiana hawaoni kama ni tatizo kubwa ila nakuhakikishia, ukigundulika kuwa msaliti kwa mapenzi ya sasa. Kisasi dhidi ya tendo hilo huwa ni kizito sana katika mahusiano ya sasa!
Tusipoishi maisha ya uvumilivu, upendo na kumrudia Mungu wa mbingu na nchi, tutateketezana wenyewe hata kabla Ibirisi hajakunyonga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.