Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,087
- 34,885
Mmmh hii gari mbona km NISSAN halafu ni nyeupe na nimeiona muda mrefu inanifuatilia, jamani dua zenu ni muhimu kwangu ili nibaki salama mimi
Mzizi wewe ni member unayeheshimika saaana hapa jukwaaani. Kutuletea habari kama hizi, unatufanya tuanze kukupuuzaView attachment 863410
Mmmh hii gari mbona km NISSAN halafu ni nyeupe na nimeiona muda mrefu inanifuatilia, jamani dua zenu ni muhimu kwangu ili nibaki salama mimi
Kweli kabisa MkuuMzizi wewe ni member unayeheshimika saaana hapa jukwaaani. Kutuletea habari kama hizi, unatufanya tuanze kukupuuza
Hili ni Jukwaa la picha na hiyo ni habari feki ya kutunga kwani wewe hujuwi kuwa hapa tupo kwenye jukwaa la Picha Mkuu?Mzizi wewe ni member unayeheshimika saaana hapa jukwaaani. Kutuletea habari kama hizi, unatufanya tuanze kukupuuza
Hili ni Jukwaa la picha na hiyo ni habari feki ya kutunga kwani wewe hujuwi kuwa hapa tupo kwenye jukwaa la Picha Mkuu?
Nilisahau kabisa kuwa ningeliweka kwenye Jukwaa la Utani na Joke hii Thread, umenikumbusha sana labda nimwambie Moderator aitowe hapa hii Thread yangu na aiweke kwenye jukwaa la Joke na utani? Unasemaje?Ungeipost jukwaa la jokes/utani ningekuelewa zaidi.
Samahani kama nilikukwaza
Litakua jambo la busara kuepusha watu kupata wasiwasi juu ya maisha yako. East Africa is no longer safeNilisahau kabisa kuwa ningeliweka kwenye Jukwaa la Utani na Joke hii Thread, umenikumbusha sana labda nimwambie Moderator aitowe hapa hii Thread yangu na aiweke kwenye jukwaa la Joke na utani? Unasemaje?