lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Huu ni ukweli usiopingika kuwa watu wanene vibonge wanakula sana kuliko watu wembamba, breakfast ya mtu mnene(maziwa,matunda,juice,mkate,kitumbua,mayai 3,soseji,pizza,maji lita moja,chapati ya maji, samaki nusu) hii ni lunch ya mtu mwembamba.
Hivi wakuu ni theory gani inakua applied hapa? kama una jamaa yako mnene fuatilia halafu uje hapa utujulishe sawa.
Hivi wakuu ni theory gani inakua applied hapa? kama una jamaa yako mnene fuatilia halafu uje hapa utujulishe sawa.