Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,876
- 225,767
Tutaenda wapi sasa?😂😂😂Kiukweli sasa itabidi tuwachane tu hakuna namna. Jitu limefumuka kiasi kwamba siti ya watu wawili hamtoshi!! Leo Nimekereka sana kiukweli.
Yaan mtu anakubana kuanzia mwanzo wa safari mpka mwisho , huu upuuzi kama mmeshindwa kufanya mazoezi kuondoa hiyo minyama msitumie usafiri wa wa watu wengi. Nunueni magari yenu au bakini nyumbani tu ili kuepusha hizi kero mnazotupa wengine.
Hivi kwanini mtu unanepa mpka kufikia hatua ya kuwa kero kwa watu wengine ? Hivi mnakuwa hamjioni mpaka kufikia hatua hiyo ?
Kuna siku nimetoka Kanisani jioni mida ya saa1 na nusu.
Bajaj zinaita abiria Goba Mbezi Goba Mbezi..
Nilikuwa nimeongozana na Mama fulani bonge,Alikuwa mbele yangu.
Tulipokaribia ile bajaj wote tukauliza Mbezi?
Dereva akamkatalia yule Mama ,akaniita mimi.
Ilikuwa imebaki siti ya mbele tu..Akasema hataki kubanwa kizembe.