Watu wanene (mabonge) ni kero ktk usafiri wa umma

Jbst

JF-Expert Member
Nov 29, 2020
1,924
3,951
Kiukweli sasa itabidi tuwachane tu hakuna namna. Jitu limefumuka kiasi kwamba siti ya watu wawili hamtoshi!! Leo Nimekereka sana kiukweli.

Yaan mtu anakubana kuanzia mwanzo wa safari mpka mwisho , huu upuuzi kama mmeshindwa kufanya mazoezi kuondoa hiyo minyama msitumie usafiri wa wa watu wengi. Nunueni magari yenu au bakini nyumbani tu ili kuepusha hizi kero mnazotupa wengine.

Hivi kwanini mtu unanepa mpka kufikia hatua ya kuwa kero kwa watu wengine ? Hivi mnakuwa hamjioni mpaka kufikia hatua hiyo ?
 
Kiukweli sasa itabidi tuwachane tu hakuna namna. Jitu limefumuka kiasi kwamba siti ya watu wawili hamtoshi!! Leo Nimekereka sana kiukweli.

Yaan mtu anakubana kuanzia mwanzo wa safari mpka mwisho , huu upuuzi kama mmeshindwa kufanya mazoezi kuondoa hiyo minyama msitumie usafiri wa wa watu wengi. Nunueni magari yenu au bakini nyumbani tu ili kuepusha hizi kero mnazotupa wengine.

Hivi kwanini mtu unanepa mpka kufikia hatua ya kuwa kero kwa watu wengine ? Hivi mnakuwa hamjioni mpaka kufikia hatua hiyo ?
watu wanene hasa wanawake ni keso kwa kila kitu, sio usafiri tu.hata makazini huko ukiwa na boss mwanamke mnene, wote utafikiri ni watoto wa baba mmoja.
 
4938738042_212f0bf948_z.jpg
 
Wakizuiwa uje kulalamikia wanaojipulizia perfume wanakupa chafya. Public transport ni kwa ajili ya binadamu aina zote.
 
Wawe wananunua siti mbili ili wakae peke yao
Hili ni wazo zuri, kwani pamoja na ubonge sio kipimo cha kuwa na uwezo wa kuwa na usafiri binafsi.

Wengine ubonge ni wa kiasili, wengine ubonge ni kuridhika tu hata kama hawana mipunga ya kueleweka.

Hii kero iliwahi kunikuta miaka ya nyuma enzi za sekondari jijini Mwanza.

Kuna siku nilipanda Hiace za Malimbe nikitokea mjini, nikiwa nimevalia uniform na kukaa mbele kwenye siti ya kugeukia nyuma(almaarufu kama Bunsen burner), Alikuja mmama alikuwa bonge sana akaja kukaa siti ya mbele yangu tukatazamana, alinibana aisee.

Ilipofika muda wa konda kudai nauli, nikaanza kufurukuta ili nilichukue nauli(100/=) mfuko wa suruali, nikashindwa kutokana na mbano wa mama, mama akagundua kuwa amenibana akaniambia basi ngoja nikulipie, akanilipia.

NB: Kwa wenye uwezo na mumeshakuwa mabonge, nunueni usafiri binafsi au muwe mnanunua siti 2 ili isiwe kero kwa wengine. Ukishanunua siti na ikajulikana utakuwa na uwezo/haki ya kukaa utakavyo.
 
Kiukweli sasa itabidi tuwachane tu hakuna namna. Jitu limefumuka kiasi kwamba siti ya watu wawili hamtoshi!! Leo Nimekereka sana kiukweli.

Yaan mtu anakubana kuanzia mwanzo wa safari mpka mwisho , huu upuuzi kama mmeshindwa kufanya mazoezi kuondoa hiyo minyama msitumie usafiri wa wa watu wengi. Nunueni magari yenu au bakini nyumbani tu ili kuepusha hizi kero mnazotupa wengine.

Hivi kwanini mtu unanepa mpka kufikia hatua ya kuwa kero kwa watu wengine ? Hivi mnakuwa hamjioni mpaka kufikia hatua hiyo ?
Mwanaume mzima unaongea utumbo,si ununue gari lako?? Dhiki zako ndo uwaseme wanene?? Ulishindwa kushuka upande Bolt?? Shame on you!!
 
Stop fat shaming!
Wanene wengine ndivyo walivyoumbwa kama sisi ambao ni mwili wa wastani by nature, kwa hiyo hata wakifanya mazoezi ya kupungua uzito wananenepa kirahisi mno. Ukishajua upo duniani jifunze kuvumiliana na kila mtu kwa sababu hata wewe una kero zako ambazo watu wanakuvumilia.
 
Back
Top Bottom