Watu wanazidi kujitoa NSSF, kulikoni?

Watu wanazidi kujitoa NSSF, kulikoni?

SPIN DOCTOR

Member
Joined
Aug 18, 2016
Posts
20
Reaction score
10
Hivi nini kinaendelea NSSF? Leo nilikuwa ofisi yao ya Ilala wanachama wamekuja wanataka kutoa pesa zao.

Je, kuna uwezekano kuwa NSSF inaelekea kufilisika kama PSPF? Kwanini serikali isiunganishe hii mifuko na pia kuruhusu Private Pension Plan badala ya mambo ya kulazimishwa kuingiza pesa kwenye hizi state pension funds.
 
Hivi nini kinaendelea NSSF? Leo nilikuwa ofisi yao ya Ilala wanachama wamekuja wanataka kutoa pesa zao. Je kuna uwezekano kuwa NSSF inaelekea kufilisika kama PSPF? Kwanini serikali isiunganishe hii mifuko na pia kuruhusu Private Pension Plan badala ya mambo ya kulazimishwa kuingiza pesa kwenye hizi state pension funds.
Dalili za mvua ni mawingu..something is wrong down there, japo bado ishu inafunikwa
 
Kuna uzi ulikuwepo humu uliokuwa unazungumzia wanachama wa NSSF kujitoa lakini alikuja Pascal Mayalla akawaka sana kwa uchungu na kutetea uongozi wa NSSF kuwa hilo jambo ni uzushi na ikabidi uzi ukafutwa bila sababu za msingi (inanifanya niamini kuwa NSSF wameajiri watu wao kuja kuondoa bad news na kutisha uongozi wa JamiiForums).

Leo nimeshuhudia mwenyewe watu wanavyolalamika ofisi za NSSF ilala na nimeambiwa na staff pale kuwa katika miezi ya karibuni wameshindwa kujua namna gani watakavyozuia hili wimbi la wanaojitoa. Mwanzoni walidhani kuwa ni kampeni toka kwa mahasimu wao PPF na PSPF kuchukua wanachama lakini inaonekana kuwa hili shirika linaelekea iliko shirika la Nyumba la Taifa (NHC) yaani kufilisika na wanachama hawana imani na mambo yanayoendelea ndani ya shirika

Kwa nini tunalazimishwa na serikali kuwekka pension zetu kwenye mashirika ya serikali?
 
Hivi nini kinaendelea NSSF? Leo nilikuwa ofisi yao ya Ilala wanachama wamekuja wanataka kutoa pesa zao. Je kuna uwezekano kuwa NSSF inaelekea kufilisika kama PSPF? Kwanini serikali isiunganishe hii mifuko na pia kuruhusu Private Pension Plan badala ya mambo ya kulazimishwa kuingiza pesa kwenye hizi state pension funds.
Mi mwenyewe nishajitoa mambo yao niya ovyoovyo tuuu
 
Sasa wameamua kujenga mabwawa ya samaki badala ya miradi ya umeme na barabara
 
SAFI SANA.....NISHAWAHI KU COMMENT KUHUSU HAWA NSSF,NKASEMA BORA WATU WAJITOE TU MAANA NSSF HAKUNA UMUHIMU..

OVA
 
Hivi nini kinaendelea NSSF? Leo nilikuwa ofisi yao ya Ilala wanachama wamekuja wanataka kutoa pesa zao. Je kuna uwezekano kuwa NSSF inaelekea kufilisika kama PSPF? Kwanini serikali isiunganishe hii mifuko na pia kuruhusu Private Pension Plan badala ya mambo ya kulazimishwa kuingiza pesa kwenye hizi state pension funds.
Inamaana PSPF wamefulia mkuu? Maana ndo nataka kujiunga nao, kama vp ni ahirishe kujiunga nao!!!
 
Ukweli ni kwamba watu wengi... wanaachishwa kazi. mfano mm ni HR hapa ss tunahusika na kusafilisha magali na mizigo ndani na nje ya nchi.... tumesitisha mkataba na madereva 62 ndn ya miez mitatu hii na tunategea kuachisha wengine 27 mwezi ujao.......... Bandari imetuathiri sana kiukwl
 
PSFP nadhani deficit yao inakaribia 3 billion au zaidi

serikali inseam haifa pesa za kulipa hilo deni
 
Kuna uzi ulikuwepo hum uliokuwa unazungumzia wanachama wa NSSF kujitoa lakini alikuja Pascal Mayalla akawaka sana kuwa hilo jumbo ni uzushi na uzi ukafutwa bila sababu za msingi (inanifanya niamini kuwa NSSF wameajiri watu wao kuja kuondoa bad news JF). Leo nimeshuhudia mwenyewe watu wanavyolalamika ofisi za NSSF ilala na nimeambiwa na staff pale kuwa katika miezi ya karibuni wameshindwa kujua namna gani watakavyozuia hili wimbi la wanaojitoa. Mwanzoni walidhani kuwa ni kampeni toka kwa mahasimu wao PPF na PSPF lakini inaonekana kuwa hili shirika linaelekea iliko shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kufilisika.

Kwa nini tunalazimishwa na serikali kuwekka pension zetu kwenye mashirika ya serikali?
Watu wanajitoa kwamba hawautaki tena mfuko au watu wanaenda ku-demand mafao yao baada ya kustaafu au kuachishwa kazi? Hivi inaingilia akilini ukute kundi kubwa la watu halafu useme hawautaki mfuko? Walifikia hatua hiyo kwa umoja wao baada ya kuona kuna nini?

Akina sie tunaofanya kazi hapa, tukimaliza mkataba tunaenda kudai chetu tunafahamu hilo ni jambo la kawaida kwa mifuko yote... kwamba, ukikuta kuna kundi kubwa basi fahamu watu washalizwa huko! Sasa kimbembe ni pale Mwajiri ikiwa alikuwa hapeleki makato... na hii inatokea sana, tena sana! Unakuta kila mwezi unakatwa lakini makato hayaendi! Lakini wakati mwingine inakuwa ni uzembe wa mifuko yenyewe! Unaweza kukuta Mwajiri anapeleka makato kila mwezi lakini ofisa husika ha-post makato kwenye a/c yako! Case kama hii ilishawahi kunikuta PPF! Baada ya kufika pale na kutaja my ex-employer nikajibiwa huyo hana problem katika kuleta makato... njoo next week! Nafika next week kumbe hawajafanya posting ya zaidi ya miaka 3 na mbaya zaidi, sheet moja ilikuwa misplaced... zikaanza njoo next week za kutosha!
 
Back
Top Bottom