Watu wananiogopa bure

Watu wananiogopa bure

Hata mimi nilikuwa nlikuwa naogowpa sana na watu bila kujua sababu ni nini.

Baada ya kujifanyaia utafiti wa kina, nikagundua kuwa dushelele langu huwa linatuma sana kwenye suruali kiasi cha kutishia usalama wa watu.

Kumbe watu walikuwa wanadhani Mimi nina tabia mbofu mbofu kama za popobawa mvaa watu, ndo maana walikuwa wananiogopa.

Katika kukomesha hili, nikawa navaa suruali pana kama ile ya msanii Samba Mapangala, vijana wa siku hizi wanaita jeje.

Sasa siogopwi na watu tena!
 
Labda utakuwa unapaka yale mafuta ya samli ya ng'ombe unatoa harufu si nzuri
 
Hata mimi nilikuwa nlikuwa naogowpa sana na watu bila kujua sababu ni nini.

Baada ya kujifanyaia utafiti wa kina, nikagundua kuwa dushelele langu huwa linatuma sana kwenye suruali kiasi cha kutishia usalama wa watu.

Kumbe watu walikuwa wanadhani Mimi nina tabia mbofu mbofu kama za popobawa mvaa watu, ndo maana walikuwa wananiogopa.

Katika kukomesha hili, nikawa navaa suruali pana kama ile ya msanii Samba Mapangala, vijana wa siku hizi wanaita jeje.

Sasa siogopwi na watu tena!
duh asantee asante usisahau kumuua liver pol upate hela ya barmed upumzike kupiga puchu mr secretpuchu
 
Changamoto ipo kwenye Kichwa chako ndio maana watu wanakuogopa,

Pengine wanakuona hamnazo.
yaani wangeniona hamnazo wangenitania kwasababu kuna mifano naiangalia ila wao wananichukulia kama muheshimiwa au mtu wa kumficha mambo ya kawaida
 
Inaitwa kinabii sio kumuogopa ni .....
Njoo nikusaidie inbox
fafanua hapa kwa faida ya wote mwenyewe huwa inanitokeaga,, kuna siku nilienda sehem moja hv na bos wangu tulipofika pale watu wakawa wananichukulia mm kama bos tukiacha hayo mimi kitaa nakubalika na kila rika iwe wazee, mateja watoto wadogo, vijana wanawake, nk ila sina cha maana ninacho miliki zaid ya inifinix na itel nyumba ya kujengewa na mzee wangu
 
Wengine wanatetemeka, wengine wanakimbia wakiniona. sometime nashindwa hadi kupata madem kwasababu wananiogopa sana.. hii inasababishwa na nini ?
Weka picha yako hapa ili na sisi tujiridhishe kama ni kweli.
 
fafanua hapa kwa faida ya wote mwenyewe huwa inanitokeaga,, kuna siku nilienda sehem moja hv na bos wangu tulipofika pale watu wakawa wananichukulia mm kama bos tukiacha hayo mimi kitaa nakubalika na kila rika iwe wazee, mateja watoto wadogo, vijana wanawake, nk ila sina cha maana ninacho miliki zaid ya inifinix na itel nyumba ya kujengewa na mzee wangu
Hiyo ni roho iliyonayo ndani.
Na ruhani wako na mwonekano.
Ukitaka zaidi njoo inbox
 
Back
Top Bottom