Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 9,237
- 19,866
Nashindwa kuelewa kabisa hizi benki zetu, ukiingi unakuta dirisha Moja au ukibahatisha mawili tu ndio yanafanya kazi Kati ya matano, na wateja kwenye foleni ni wengi.
Nashindwa kuelewa kinachowafanya kushindwa kuajiri nguvu kazi ni nini?
Ni ukosefu wa nguvu kazi mtaani? Hapana, vijana mtaani wapo wengi wenye utaalamu kibao, hawana kazi
Ni hawana hela za kuajiri? Hapana ukiangalia income statement zao wanapata mamia ya mabilioni, wengine karibia hata trilioni na kutoa magawio makubwa tu
Shida ni nini Hadi mtupotezee muda wetu?
Nashindwa kuelewa kinachowafanya kushindwa kuajiri nguvu kazi ni nini?
Ni ukosefu wa nguvu kazi mtaani? Hapana, vijana mtaani wapo wengi wenye utaalamu kibao, hawana kazi
Ni hawana hela za kuajiri? Hapana ukiangalia income statement zao wanapata mamia ya mabilioni, wengine karibia hata trilioni na kutoa magawio makubwa tu
Shida ni nini Hadi mtupotezee muda wetu?