hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Mungu atusaidie sana kwenye haya majanga ya barabarani.
Mungu atusaidie sana kwenye haya majanga ya barabarani.
Tatizo siyo kulipa kodi ...tatizo ni matumizi ya hizo kodi zinazokusanywa.........Mbona kila kitu kenya? Unaweza kuta wewe mweyewe ndiye unayechangia kwa kiasi kikubwa kurudisha maendeleo ya serikali nyuma kwa kutokulipa kodi. Ebu fikiri ni marangapi umechangia kuikosesha serikali kodi,au kuharibu miundombinu ya serikali kwa kutupa taka hovyo au kwa njia yoyote ile. Yatosha sasa kuilaumu serikali,niwakati wa kufanya yale yatuhusuyo sisi wananchi kwa sehemu yetu na serikali kwa sehemu yao alafu evaluation ya big result itakuja fanyika kwa njia ya sanduku la kura. KUWA MMOJAWAPO WA MAPINDUZI CHANYA KWA TAIFA LA TANZANIA. MUNGU IBARIKI AFRICA,MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Ni Buhongwa ama wapi? Maana kona ya Mkolani-Buhongwa ndipo mabasi hupindukia, na kipande cha Buhongwa-Mkolani hakuna matuta basi ni balaa tupu hata kwa watoto na school bus asubuhi.
Madereva hawaaaa..??
Ni Buhongwa ama wapi? Maana kona ya Mkolani-Buhongwa ndipo mabasi hupindukia, na kipande cha Buhongwa-Mkolani hakuna matuta basi ni balaa tupu hata kwa watoto na school bus asubuhi.
Madereva hawaaaa..??
Ngoja Faizafoxy aje na feasibility study ya kupanua hiyo barabara.
c.c FaizaFoxy
GreatThinkers,
Hili basi lilikuwa linaovateki lakini pia kuna Kona huku kukiwa na mteremko,pembeni kuna mitaro na ndiyo kitu kinachosumbua hapa.