PostGE2025 Watu wamejiandaa kuyaona machozi ya CCM

PostGE2025 Watu wamejiandaa kuyaona machozi ya CCM

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Criss

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
1,944
Reaction score
3,090
Maisha ya wateule yapo hatarini sana .

ROHO YA KISASI imestawi mno.

Maandamano ya tar 29 yametengeneza kitu kipya sana .

Waliyokuwa wakijihusisha na maandamano yale wengi wao walikuwa vijana na hasa wale waliyokuwa na chembechembe nyingi za usiasa za mageuzi ndani yao huku % ndogo sana walikuwa ni wale waliyoguswa na matendo ya utekaji.

Maandamano ya tare 09 12 2025 yanawalipa visasi wengi na pia yana wanasiasa wengi.

Lakini pia kuna taarifa zisizo rasmi za maadui wa nje kutaka kuitumia hiyo fursa kwa kujiegemeza upande wa wadai haki , sikubahatika kupata taarifa za mikataba bainq yao japo najua hawawezi kukubali kuongeza nguvu pasipo maslahi yao kutazamwa .

Na kibaya zaidi wote kwa pamoja wanakutanishwa na dhamira moja tu KUYAONA MACHOZI YA CCM na ikiwezekana kuiondoa madarakani japo wengi wanahasira na uongozi wa Rais aliye madarakani na uchaguzi mwingine kufanyika.

Kwanini tunadhani wanatamani kuyaona machozi ya CCM iwe ndiyo msingi wa maandamano yao?

Nikwasababu ,wanaichukulia serikali ya CCM ni kama kiburi ,ndiyo sababu ya yote haya yaliyotokea ikiwemo kuwaulia wapendwa wao na hawaonyeshi kuguswa na maumivu waliyowasababishia wenzao.

Lakini kitendo cha kuendesha serikali kimabavu kinaifanya jamii hasa ya wale wapenda demokrasia kujiona nikama wametunishiwa misuli kwenye haki zao.

Wengi wanajua kuwa watasurubiwa ,lakini utayari wao wakuyapokea maumivu ni mkubwa sana na wanaonyesha wamejiandaa vizuri , vizuri siyo kwa kuzunguka zunguka ili CCM Ione haibu hadi ikubali kuurudia Uchaguzi ,No , wengi hawazungumzii kuchoma moto na kuharibu mali kama ilivyotokea tarehe 29 October No , wengi wanaonyesha malengo yao makubwa nikuanza kulana vichwa na hasa kwa wateule kuanzia madiwani ,wabunge na hata zaidi tena ndiyo hasa.

Masikini Tanzania yangu .

Watu wanaona njia pekee ya kuifanya serikali ikubali kuheshimu vilio vya watanzania nikuwatengenezea mazingira yakuwazimisha na siyo kuwabembeleza tena .

Watu wamepeana majukumu kitambo tu kila mmoja atimize majukumu yake , wapo waliyojitolea kumalizana nao na wengine kuhakikisha wanafanikisha kuvipata vitendea kazi .

Kibaya zaidi wengi niwakutoka kwenye mfumo wa ndani na wachache ni wale wakutoka nje ambao kwa kushirikiana na Wandani inawawia rahisi kuingiza vitendea kazi.
 
Wanawake na watoto watakwenda kuumia sana...
Aisee kuna eneo hadi binafsi naanaza kupata mashaka na vitegauchumi vyangu ambavyo ndiyo eneo roho yangu ilipo .

Mipango ya upande wa pili imekaa vibaya mnoo ,nijuavyo wakifanikiwa kuwadondosha wawakilishi hata 50 pengine CCM nayo itatangaza hali ya hatari , raia watakufa viongozi watakufa na mali zitateketea .

Dah! Anyway wacha iwe iwavyo ila dah! Noumer sana wazee ,watu wanamioyo inayovuja damu ,nawasikitikia sana wateule maana kichwani kule wanaweza kuona namna ya kujificha ila hawa wachini huku labda waone njia nzuri ya kujinusuru maana jamaa wamejiandaa kulazimisha mazingira ya kupeana heshima.
 
Aisee kuna eneo hadi binafsi naanaza kupata mashaka na vitegauchumi vyangu ambavyo ndiyo eneo roho yangu ilipo .

Mipango ya upande wa pili imekaa vibaya mnoo ,nijuavyo wakifanikiwa kuwadondosha wawakilishi hata 50 pengine CCM nayo itatangaza hali ya hatari , raia watakufa viongozi watakufa na mali zitateketea .

Dah! Anyway wacha iwe iwavyo ila dah! Noumer sana wazee ,watu wanamioyo inayovuja damu ,nawasikitikia sana wateule maana kichwani kule wanaweza kuona namna ya kujificha ila hawa wachini huku labda waone njia nzuri ya kujinusuru maana jamaa wamejiandaa kulazimisha mazingira ya kupeana heshima.
Itakapolia risasi ya kwanza basi jua ni miaka mingi itapita mpkaka kutulia.... Tusifike huko
 
Aisee kuna eneo hadi binafsi naanaza kupata mashaka na vitegauchumi vyangu ambavyo ndiyo eneo roho yangu ilipo .

Mipango ya upande wa pili imekaa vibaya mnoo ,nijuavyo wakifanikiwa kuwadondosha wawakilishi hata 50 pengine CCM nayo itatangaza hali ya hatari , raia watakufa viongozi watakufa na mali zitateketea .

Dah! Anyway wacha iwe iwavyo ila dah! Noumer sana wazee ,watu wanamioyo inayovuja damu ,nawasikitikia sana wateule maana kichwani kule wanaweza kuona namna ya kujificha ila hawa wachini huku labda waone njia nzuri ya kujinusuru maana jamaa wamejiandaa kulazimisha mazingira ya kupeana heshima.
Mtawala mpumbavu ametengeneza mazingira rafiki kwa homegrown terrorism. Chuki na hasira zimewaelemea watu. Wako tayari kwa shari yoyote!
 
Hivi hao wababa wanafuga vitambi na mijululu ya bure tu? Wameshindwa kabisa kumshauri chura?? Wamekalia ubinafsi tu na uroho sasa watavilia wapi km nchi yenyewe ndo hii?

Watu wengi wameshaanza kuikimbia nchi, sio Tanzania ile iliyokkuwa inakimbiliwa na mamilioni ya raia majirani wenye migogoro nchini mwao, saiv wanaona heri warudi makwao
 
Yaani kunaeneo unaona kabisa tunakwenda kukichomamoto Taifa letu , unakutana na watu machozi yamegoma kutoka zaidi tu ya kuona rangi ya macho inavyobadilika .

Watu wanakupa sababu na unazielewa na kibaya zaidi ni wale waliyopo kwenye mfumo ,unakuta mtu amepoteza Mama yake mzazi , mwingine amepoteza first born wake mwingine amepoteza ndugu pekee alikuwakuwa akiwategemea kumpa furaha kwenye hii Dunia ,anakwambia Kaka ,mimi nalipenda Taifa langu , nilipo nafanya kazi kwa uaminifu kwa maslahi mapana ya Taifa letu, vipi tufanyiane hivi?

Hapana damu za ndugu zangu hazitaenda bure

Namimi nilazima niyaone machozi yao.

Mbaya zaidi ni wengi wenye vilio vya namna hiyo na dhamira yao karibu inafanana sana ,hilo ni kundi moja kundi la pili ni la wanasiasa ,huko nako wanamadai yao .

Aisee Mungu tu atusaidie .
 
Aisee kuna eneo hadi binafsi naanaza kupata mashaka na vitegauchumi vyangu ambavyo ndiyo eneo roho yangu ilipo .

Mipango ya upande wa pili imekaa vibaya mnoo ,nijuavyo wakifanikiwa kuwadondosha wawakilishi hata 50 pengine CCM nayo itatangaza hali ya hatari , raia watakufa viongozi watakufa na mali zitateketea .

Dah! Anyway wacha iwe iwavyo ila dah! Noumer sana wazee ,watu wanamioyo inayovuja damu ,nawasikitikia sana wateule maana kichwani kule wanaweza kuona namna ya kujificha ila hawa wachini huku labda waone njia nzuri ya kujinusuru maana jamaa wamejiandaa kulazimisha mazingira ya kupeana heshima.
Ulivyoandika "noumer" tu nikajua anayeandika haya is a boy not a man. Ukimchukulia serious unapoteza muda wako bure. Waambie waendelee na mipango yao watafanikiwa.
 
MWANAMKE MPUMBAVU UVUNJA NYUMBA YAKE KWA MIKONO YAKE MWENYEWE.....wengi mlio mpampu samia kwa kumsifia na kumpa kichwa na kumpa kiburi leo mnajidai kuyapinga matunda ya juhudi zenu ...walio kuwa wanamuunga mkono samia ndiyo walio mfikisha hapo...hatia na hukumu ya samia ni lazima iwe juu yao pia.
 
Maisha ya wateule yapo hatarini sana .

ROHO YA KISASI imestawi mno.

Maandamano ya tar 29 yametengeneza kitu kipya sana .

Waliyokuwa wakijihusisha na maandamano yale wengi wao walikuwa vijana na hasa wale waliyokuwa na chembechembe nyingi za usiasa za mageuzi ndani yao huku % ndogo sana walikuwa ni wale waliyoguswa na matendo ya utekaji.

Maandamano ya tare 09 12 2025 yanawalipa visasi wengi na pia yana wanasiasa wengi.

Lakini pia kuna taarifa zisizo rasmi za maadui wa nje kutaka kuitumia hiyo fursa kwa kujiegemeza upande wa wadai haki , sikubahatika kupata taarifa za mikataba bainq yao japo najua hawawezi kukubali kuongeza nguvu pasipo maslahi yao kutazamwa .

Na kibaya zaidi wote kwa pamoja wanakutanishwa na dhamira moja tu KUYAONA MACHOZI YA CCM na ikiwezekana kuiondoa madarakani japo wengi wanahasira na uongozi wa Rais aliye madarakani na uchaguzi mwingine kufanyika.

Kwanini tunadhani wanatamani kuyaona machozi ya CCM iwe ndiyo msingi wa maandamano yao?

Nikwasababu ,wanaichukulia serikali ya CCM ni kama kiburi ,ndiyo sababu ya yote haya yaliyotokea ikiwemo kuwaulia wapendwa wao na hawaonyeshi kuguswa na maumivu waliyowasababishia wenzao.

Lakini kitendo cha kuendesha serikali kimabavu kinaifanya jamii hasa ya wale wapenda demokrasia kujiona nikama wametunishiwa misuli kwenye haki zao.

Wengi wanajua kuwa watasurubiwa ,lakini utayari wao wakuyapokea maumivu ni mkubwa sana na wanaonyesha wamejiandaa vizuri , vizuri siyo kwa kuzunguka zunguka ili CCM Ione haibu hadi ikubali kuurudia Uchaguzi ,No , wengi hawazungumzii kuchoma moto na kuharibu mali kama ilivyotokea tarehe 29 October No , wengi wanaonyesha malengo yao makubwa nikuanza kulana vichwa na hasa kwa wateule kuanzia madiwani ,wabunge na hata zaidi tena ndiyo hasa.

Masikini Tanzania yangu .

Watu wanaona njia pekee ya kuifanya serikali ikubali kuheshimu vilio vya watanzania nikuwatengenezea mazingira yakuwazimisha na siyo kuwabembeleza tena .

Watu wamepeana majukumu kitambo tu kila mmoja atimize majukumu yake , wapo waliyojitolea kumalizana nao na wengine kuhakikisha wanafanikisha kuvipata vitendea kazi .

Kibaya zaidi wengi niwakutoka kwenye mfumo wa ndani na wachache ni wale wakutoka nje ambao kwa kushirikiana na Wandani inawawia rahisi kuingiza vitendea kazi.
daaah aisee yanayokwenda kutokea ni yakutisha zaidi ya hiyo october 29 .

kwa akili za CCM hawawezi kubali achia nchi kizembe kwa wananchi watakachofanya ni mauaji kwa raia hawatajari hata macho ya jumuiya ya kimataifa kama UN na nyinginezo


watarudia makosa yale make nachokiona ni lock down kali kuanzia tarehe 7 december kitu ambacho kitazidi tia hasira watu kutaka kutoka na hapo ndio mauaji ya halaiki yatatendeka kama yale ya october
 
Ulivyoandika "noumer" tu nikajua anayeandika haya is a boy not a man. Ukimchukulia serious unapoteza muda wako bure. Waambie waendelee na mipango yao watafanikiwa.
Dingi kwani unakipi cha kuongeza ? We mwenyewe chawa tu ,jiandae kuliwa kichwa na wajuba wanaghadhabu kiqumer mamamaaaeee .

This time tujiandae kupoteza askari wengi sana hasa vile viherehere vyote kula chuma labda vijifiche .
 
daaah aisee yanayokwenda kutokea ni yakutisha zaidi ya hiyo october 29 .

kwa akili za CCM hawawezi kubali achia nchi kizembe kwa wananchi watakachofanya ni mauaji kwa raia hawatajari hata macho ya jumuiya ya kimataifa kama UN na nyinginezo


watarudia makosa yale make nachokiona ni lock down kali kuanzia tarehe 7 december kitu ambacho kitazidi tia hasira watu kutaka kutoka na hapo ndio mauaji ya halaiki yatatendeka kama yale ya october
Bado haitawaokoa joh! tabu bado iko palepaaaleeee

Jamaa mipango ni kisasi kitakatifu , wakiziba huku wanatoboa kule .

Wajuba wanasema wasipokubali kurudisha ball kwa kipa awamu hii itakuwa ni ya mwendo wa lockdown tu ,na muhusika ndiyo wanamnyatia ile kimaku kudadaddeeeki
 
Hivi hao wababa wanafuga vitambi na mijululu ya bure tu? Wameshindwa kabisa kumshauri chura?? Wamekalia ubinafsi tu na uroho sasa watavilia wapi km nchi yenyewe ndo hii?

Watu wengi wameshaanza kuikimbia nchi, sio Tanzania ile iliyokkuwa inakimbiliwa na mamilioni ya raia majirani wenye migogoro nchini mwao, saiv wanaona heri warudi makwao
Kikwete amekuwa mzee mpumbavu sana!
 
Maisha ya wateule yapo hatarini sana .

ROHO YA KISASI imestawi mno.

Maandamano ya tar 29 yametengeneza kitu kipya sana .

Waliyokuwa wakijihusisha na maandamano yale wengi wao walikuwa vijana na hasa wale waliyokuwa na chembechembe nyingi za usiasa za mageuzi ndani yao huku % ndogo sana walikuwa ni wale waliyoguswa na matendo ya utekaji.

Maandamano ya tare 09 12 2025 yanawalipa visasi wengi na pia yana wanasiasa wengi.

Lakini pia kuna taarifa zisizo rasmi za maadui wa nje kutaka kuitumia hiyo fursa kwa kujiegemeza upande wa wadai haki , sikubahatika kupata taarifa za mikataba bainq yao japo najua hawawezi kukubali kuongeza nguvu pasipo maslahi yao kutazamwa .

Na kibaya zaidi wote kwa pamoja wanakutanishwa na dhamira moja tu KUYAONA MACHOZI YA CCM na ikiwezekana kuiondoa madarakani japo wengi wanahasira na uongozi wa Rais aliye madarakani na uchaguzi mwingine kufanyika.

Kwanini tunadhani wanatamani kuyaona machozi ya CCM iwe ndiyo msingi wa maandamano yao?

Nikwasababu ,wanaichukulia serikali ya CCM ni kama kiburi ,ndiyo sababu ya yote haya yaliyotokea ikiwemo kuwaulia wapendwa wao na hawaonyeshi kuguswa na maumivu waliyowasababishia wenzao.

Lakini kitendo cha kuendesha serikali kimabavu kinaifanya jamii hasa ya wale wapenda demokrasia kujiona nikama wametunishiwa misuli kwenye haki zao.

Wengi wanajua kuwa watasurubiwa ,lakini utayari wao wakuyapokea maumivu ni mkubwa sana na wanaonyesha wamejiandaa vizuri , vizuri siyo kwa kuzunguka zunguka ili CCM Ione haibu hadi ikubali kuurudia Uchaguzi ,No , wengi hawazungumzii kuchoma moto na kuharibu mali kama ilivyotokea tarehe 29 October No , wengi wanaonyesha malengo yao makubwa nikuanza kulana vichwa na hasa kwa wateule kuanzia madiwani ,wabunge na hata zaidi tena ndiyo hasa.

Masikini Tanzania yangu .

Watu wanaona njia pekee ya kuifanya serikali ikubali kuheshimu vilio vya watanzania nikuwatengenezea mazingira yakuwazimisha na siyo kuwabembeleza tena .

Watu wamepeana majukumu kitambo tu kila mmoja atimize majukumu yake , wapo waliyojitolea kumalizana nao na wengine kuhakikisha wanafanikisha kuvipata vitendea kazi .

Kibaya zaidi wengi niwakutoka kwenye mfumo wa ndani na wachache ni wale wakutoka nje ambao kwa kushirikiana na Wandani inawawia rahisi kuingiza vitendea kazi.
Kwa Jina la Yesu hayatatokea, tunayafunga kwa mnyororo
 
Heshima itaanza kurejea baada ya kuanza kusikia mfurulizo wa vifo vya wateule mmoja baada ya mwingine .

Lazima watu pia wayaone machozi ya CCM bila hivyo dhihaka zitazidi ,hatutaheshimiana ,itafika mahali kaaskari tu kasiko hata na uhakika wa bima ya afya katakuwa kanatishia raia kumbafu.

Vyote gonga vyuma.
 
A busy mind at work about nothing tangible!

"...machozi ya CCM...", whatever that means!
 
Aisee kuna eneo hadi binafsi naanaza kupata mashaka na vitegauchumi vyangu ambavyo ndiyo eneo roho yangu ilipo .

Mipango ya upande wa pili imekaa vibaya mnoo ,nijuavyo wakifanikiwa kuwadondosha wawakilishi hata 50 pengine CCM nayo itatangaza hali ya hatari , raia watakufa viongozi watakufa na mali zitateketea .

Dah! Anyway wacha iwe iwavyo ila dah! Noumer sana wazee ,watu wanamioyo inayovuja damu ,nawasikitikia sana wateule maana kichwani kule wanaweza kuona namna ya kujificha ila hawa wachini huku labda waone njia nzuri ya kujinusuru maana jamaa wamejiandaa kulazimisha mazingira ya kupeana heshima.
Kutakua na curfew nahisi kuanzia trhe 8 kutoruhusu movement
 
Back
Top Bottom