Tukisema tunawapenda hamkuwahi kutuelewa sasa mambo yakizidi tufanyeje ndugu ?Ety nimepita sehemu nimekuta mtu kajilaza pembezoni mwa njia za mwendokasi anajichukulia sheria mkononi 😂
Uzi bado!!
Tukisema tunawapenda hamkuwahi kutuelewa sasa mambo yakizidi tufanyeje ndugu ?
Mfano ni mara ngapi nalilia upendo wangu kwako Joanah
Anakojoakajilaza pembezoni mwa njia za mwendokasi anajichukulia sheria mkononi
Umeacha kamari?Am taken mkuu
Labda uongee vizuri na Intelligent businessman 😂
Mbaga Jr yuko wapi?Ety nimepita sehemu nimekuta mtu kajilaza pembezoni mwa njia za mwendokasi anajichukulia sheria mkononi 😂
Uzi bado!!
Thanks Joanah nimefurahi kusikia hivyo ,sorry kwa yote sikujua .Am taken mkuu
Labda uongee vizuri na Intelligent businessman 😂
Jana watu wamepiga 200M huko una habari?Bado
Huku Piga picha? 📸Ety nimepita sehemu nimekuta mtu kajilaza pembezoni mwa njia za mwendokasi anajichukulia sheria mkononi 😂
Uzi bado!!
Unaachaje sasa Afisa wetu 🤣🤣🤣Bado
Huku Piga picha? 📸
Bestie Joanah , Kama kweli huyo jamaa alikuwa anafanya hivyo huenda ana matatizo ya akili.
Hivi mambo yote yanayoendelea hii Nchi bado ana nye****za kijinga hivyo?
Mpaka tumfilisi arudi kwao kulima pilipili 😂😂😂Siwezi wasaliti( in lafudhi ya kiKenya)
Alikuwa timamu wa akili?. Kama ni timamu, basi kweli huyo kadata.Ety nimepita sehemu nimekuta mtu kajilaza pembezoni mwa njia za mwendokasi anajichukulia sheria mkononi 😂
Uzi bado!!