[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "kila likituma"Sina uhakika,
mimi nilioa tukaachana na tulijaaliwa kupata katoto sketi,kwa sasa lile kila likituma sms ni matusi tu,limekosa mtu wa kulioa linaniona kama mimi ndo mchawi wake,full kujikoki lakini nalichunia.
So inategemea,mie sitaki hata kuliona na umalaya wake.
Nini maana ya kuachanaHabari wana jf..
Hiv ni kweli mtu akishaoa/kuoelewa baadae wakapata mtoto then ndoa ikavunjika je ikitokea mmoja akaoa au kuokewa tena au akapata mahusiano mapya je atakuwa na mapenzi ya dhati kam mwanzo au bado atarudi kwa mzazi mwenzie tu?
Kila zama na vitabu vyake lakini inategemea huko kupya atapata nini.. Kama aliruka ndogo akakanyaga kubwa majuto na kumbukizi huanzia hapoHabari wana jf..
Hiv ni kweli mtu akishaoa/kuoelewa baadae wakapata mtoto then ndoa ikavunjika je ikitokea mmoja akaoa au kuokewa tena au akapata mahusiano mapya je atakuwa na mapenzi ya dhati kam mwanzo au bado atarudi kwa mzazi mwenzie tu?
hebu nipe number yakeSina uhakika,
mimi nilioa tukaachana na tulijaaliwa kupata katoto sketi,kwa sasa lile kila likituma sms ni matusi tu,limekosa mtu wa kulioa linaniona kama mimi ndo mchawi wake,full kujikoki lakini nalichunia.
So inategemea,mie sitaki hata kuliona na umalaya wake.
ukiona mmeachana alafu mnaanza kuchokonoana jueni mlikuwa Malaya tu[emoji846][emoji846]
OkMtoto [emoji3][emoji3]