Wakuu, nimemaliza kupiga kura, na pia nimepita katika vituo kadhaa jimbo la kawe, lakini nasikitika kusema kuwa idadi tuliyoitegemea katika uchaguzi huu ni ndogo sana sielewi tatizo ni nini. Wanajamvi hebu tupeni data za maeneo mengine mlipo vinginevyo ninawasiwas sana na ule uchangamfu niliouona wakati wa kampeni.
Au hiyo milioni 19 tuliyoambiwa inawalakini?
Au hiyo milioni 19 tuliyoambiwa inawalakini?