Elimu ya utawala jinsi ya kutawala ni maarifa ya moja kwa moja kutokana na uhusiano wa sehemu mbili za uwili.
Elimu ya familia, ukoo, jamii, eneo kubwa na mambo mengine mengi.
Hivyo zamani pakawa na mambo ya ngazi za familia, ukoo, jamii na eneo kubwa.
Hata hazina zikawa namna hiyo hiyo kingazi.
Maarifa yakaenea huku na kule, kule na huku watu wakaweka kumbukumbu na kuzifanya hazina na mali ambazo waliweza hata kurithisha vizazi na vizazi vyao.
Utawala wa eneo kubwa zilikuwa ni falme, ufalme ulimiliki vitu vingi pamoja na maarifa, lakini familia zilimiliki juzi flani ambazo zilikuwa kama haki kwao.
Hata hivyo mamlaka za sirini na mamlaka bayana ziliheshimika, sio mamlaka peke yake bali hata sheria na kanuni zinavyo fanya uwepo na umilele wa uwepo, sheria zikahukumu makosa sheria pia zika hukumu wema au mambo mema.
Elimu ya familia, ukoo, jamii, eneo kubwa na mambo mengine mengi.
Hivyo zamani pakawa na mambo ya ngazi za familia, ukoo, jamii na eneo kubwa.
Hata hazina zikawa namna hiyo hiyo kingazi.
Maarifa yakaenea huku na kule, kule na huku watu wakaweka kumbukumbu na kuzifanya hazina na mali ambazo waliweza hata kurithisha vizazi na vizazi vyao.
Utawala wa eneo kubwa zilikuwa ni falme, ufalme ulimiliki vitu vingi pamoja na maarifa, lakini familia zilimiliki juzi flani ambazo zilikuwa kama haki kwao.
Hata hivyo mamlaka za sirini na mamlaka bayana ziliheshimika, sio mamlaka peke yake bali hata sheria na kanuni zinavyo fanya uwepo na umilele wa uwepo, sheria zikahukumu makosa sheria pia zika hukumu wema au mambo mema.