Ni kweli kwamba kukielewa kitu vizuri sio lazima uwe umekitengeneza au kukiumba wewe, bali hata kwa kukifuatilia jinsi na namna ya utendaji wake, au kitu hiko kiku simulie namna yake au ubahatike kufundishwa na kitu kingine cha karibu yake na iko unacho jaribu kukielewa.
Basi maarifa ya kufahamu mambo yanafahamika na vyenye kufahamu pekee na sio kila kitu kinaweza kufahamu mambo yote labda kwa namna inayotakiwa ili kukidhi kufahamu.
Zamani watu walielewa kuwepo kwa uwili waka elimika na kuelimishana juu ya uwili, wakatambua kuwa kila kitu kipo katika uwili. Wakatazama kwenye maisha bayana na kuona uwili huo katika mambo mengi sana kama vile usiku na mchana, kushoto na kulia, chini na juu, wema na ubaya, chanya na hasi, mizizi na matawi, giza na mwanga.
Wakaelewa uhusiano wa sehemu mbili za uwili na hivyo wakaheshimu sheria ya uwili, kutokana na machafuko , maafa na matatizo yasiyo faa pindi mtu au kikundi cha watu wanapo kiuka sheria hii au kujaribu kutenganisha uhusiano wa sehemu mbili za uwili.
Basi maarifa ya kufahamu mambo yanafahamika na vyenye kufahamu pekee na sio kila kitu kinaweza kufahamu mambo yote labda kwa namna inayotakiwa ili kukidhi kufahamu.
Zamani watu walielewa kuwepo kwa uwili waka elimika na kuelimishana juu ya uwili, wakatambua kuwa kila kitu kipo katika uwili. Wakatazama kwenye maisha bayana na kuona uwili huo katika mambo mengi sana kama vile usiku na mchana, kushoto na kulia, chini na juu, wema na ubaya, chanya na hasi, mizizi na matawi, giza na mwanga.
Wakaelewa uhusiano wa sehemu mbili za uwili na hivyo wakaheshimu sheria ya uwili, kutokana na machafuko , maafa na matatizo yasiyo faa pindi mtu au kikundi cha watu wanapo kiuka sheria hii au kujaribu kutenganisha uhusiano wa sehemu mbili za uwili.