Jaman nakuja mwanza kwenu kikaz nntakaa miez sita.sina nnaemjua.plz kama utapenda kunipokea ni pm plz
Unafikia wapi?
Ntakufuata eapoti ukifika.
usiache kula samaki wa freedom hotel
dah,kumbe wanamza tupo kibao jf, i wish one day tumeet maeneo flan km wafanyavyo wenzetu wa dar. ama vp wakuu...