Jaman nakuja mwanza kwenu kikaz nntakaa miez sita.sina nnaemjua.plz kama utapenda kunipokea ni pm plz
Mkuu njoo na mkeo, huku kila mtu ana wake.Jaman nakuja mwanza kwenu kikaz nntakaa miez sita.sina nnaemjua.plz kama utapenda kunipokea ni pm plz
Jinsia yako please!Jaman nakuja mwanza kwenu kikaz nntakaa miez sita.sina nnaemjua.plz kama utapenda kunipokea ni pm plz
karib sana mgeni..npo malimbe unaeza kuja kufikia huku!
mgibbeon upo wapi?
Mie mwenyewe nitakuwepo huko mwisho ya mwezi, naondoka Dar for good. Mkazi mpya wa Mwanza!