Fatal5
Senior Member
- Jul 1, 2011
- 187
- 34
Hii inatukumbusha mbali. Wakati ule Zanzibar ilipokuwa Zanzibar. Wakati ule wa Unguja ni njema, atakaye aje. Wakati ule wa baragumu likipigwa Zanzibar, samaki wa maziwa makubwa hucheza. Zanzibar nakupenda. Bonyeza link ifuatayo: Watu wa Mombasa wataka kurejea kwao Zanzibar.