....Na Pemba wakijitenga na unguja watakimbilia kujiunga tena na Tanganyika...Ungujka watabakia peke yao watashangaa....supply zote zikikata unguja itakuja kuwa njaa bei vitu itapanda maana watakuwa wanalipa ushuru tokl bara kuvusha...fujo zikizuka kutakuwa hakutawaliki tena maana wananchi wataanza kulaumu nani alietaka tuvunje muungano!!!mawazo yangu tu ....
Umejuaje kama wapemba wanataka kujitenga Zanzibar? Hizo ni scaremongering tactics za Nyerere ambazo alitumia ubaguzi kuwatawala vizuri Zanzibar. Angelikuwa hai zama hizi za vijana wa Dot com wasingelichelewa kumuuliza wapi umepata kuwa zanzibar ikijitenga pemba watataka kujitenga? Na nani amewaambia wazanzibari wataanzisha fujo? Unasema zanzibar kutakuwa na fujo nikuulize sawa wazanzibari watakuwa na fujo kwasababu vyakula vinatoka kwetu Tanganyika je wewe bandari ya kupakia na kupakua mizigo ya nchini Tanganyika itatoka wapi? Maana zanzibar bandarini zote kubwa za Dar na Mombasa na Mtwara ni eneo la zanzibar. Isitoshe gesi mnayojivunia na mafuta yaliyopo baharini mtakwenda kwa zanzibar kuwasujudia kuwaomba wawasaidie. Acheni dharau mkuu baadhi yetu watanganyika tunawadharau sana wazanzibari ila vitawatokea puani mie sipendi kutengana ila kwa dharau hizi nishasema tangu zamani nawaunga mkono kabisa ili tuone ni kina nani wataumia zaidi baina yetu na wao.