....mapenzi ya kileo magumu saanaaa...
balaa zipi tena umekutana nazo? Fafanua...........love is a gift from God................let us enjoy it...........usichanganye mapenzi na ngono............lol
....nashuhudia mambo ya ajabu sana huku mtaani....
.....kusalitiana saivi inakua kama kawaida.... Watu hawaoni hatari....