Watu wa mabondeni tunateseka, msaada tafadhali

Huko huko mnakoendaga wakati wa mafuriko ndo hamieni jumla
 
Nikusaidie mleta mada huku Tegeta vyumba vya elfu 20-25 vipo vingi mbona, au ndo unataka kukaa krb na posta .hameni
 
Acha kuropoka,hakuna mtu anaekufa,sisi tunajua namna ya kujiokoa tunapopata mafuriko,
 
Last edited by a moderator:
Mafuriko yakiwashtukiza mtaililia serikali tena iwasaidie jamani nyie vipi???
Mmengangania kwenye kingo za mito kama mamba mnaboa
Acha uboya wewe.sisi hatuililii serikali
 
Mlitangulia mjini..Magufuli kawafuateni mjini hawaoni...kumbe hamuisgi mjini balu mabondeni.
 
Acha kuropoka,hakuna mtu anaekufa,sisi tunajua namna ya kujiokoa tunapopata mafuriko,
Kama mnajua namna ya kujiokoa msiwe mnaisumbua serikali wakati wa masika, miji inazo ramani tatizo mamlaka zetu zinanuka rushwa. Katika miaka ya 70 na 80 mabonde ya Dar hayakuwa na wakazi. Taratibu yalianza kuvamiwa na watu. Miundoi mbinu mingi ya uokoaji wa bara letu ni duni sana. Moto unaunguza jengo na watu wa fire wapo katika eneo la tukio lakini mabomba yao hayana uwezo wa kusukuma maji ya kuzimia moto!. Mnapendwa na serikali yenu ndio maana mnaondolewa kwa nguvu.
 
HAKUNA MSAADA TUNAWEZA KUWAPATIENI.KAMA SERIKALI TUKUFU HAITAKI MUWEKO HUKO MABONDENI HAMUNA BUDI KUHAMA NA TENA MURUDI MAKWENU VIJIJINI HARAKA.
 
Tatizo kama halijakupata wewe sio siri unachukulia poa,hata mwenzako ambae humjui ukiambiwa kafiwa na mama au baba yake au mtu wake wa karibu huwa huumii sana mana sio wewe,ila ngoja ufiwe wewe ndio utajua uchungu wake.imagine mtu huna pesa na miezi ya January ni ya majukumu afu unaambiwa unabomolewa,au fikiria nyumba yako inabomolewa ni namna gani utaumia
 
Ndio faida ya kupenda kukimbilia mijini.unalia lia uonewe huruma wakati kijijini kwenu kuna ardhi ya kutosha
 
Pole lakini taarifa ya kuhama maeneo hayo si ipo toka 2012?
 
Acha kuropoka,hakuna mtu anaekufa,sisi tunajua namna ya kujiokoa tunapopata mafuriko,

Mwaka Juzi wewe ulikua kimbelembele kwenye kamera za BBC kulaumu serikali imewanyima msaada, kwa sasa hasikilizwi mtu tokeni huko madongo poromoka.
 
Wakati safari zanje na posho za watumishi zinaondolewa, hawa watumishi na familia zao imekua ni kilio, lakini hapo hapo wananchi haswa wa vipato vya chini walishangilia na kuwacheka watumishi, kwakifupi ni kwamba kila mwananchi kwa namna moja ama nyingine ataisoma namba na mwisho wa siku tatamkumbuka Mkwere tulie mdhihaki na kumsema vibaya
 
Tumechoka kusikia wahanga wa mafuriko,ondoken kazi zenyewe zinazowaweka mjini hamna,nyumba mlalamike,,sehem za biashara mkitozwa ushuru mnakimbia kimbia kukwepe ushuru kwa kisingizio mitaji yenu midogo.RUDINI VIJIJIN MJINI SHULE.
 

Attachments

  • IMG-20151208-WA0012.jpg
    41.6 KB · Views: 30
Acha uboya wewe.sisi hatuililii serikali


Ha ha haaaa!
Mie ninayekaa mahala pakueleweka nawewe mkaa bondeni mvua ikija wakimbia ikiisha warudi nani boya??

Na wawatoe tu!! tumechoka kuwaona kwenye tv mkipatwa mafuriko
 
Wenzako wanagawana Shamba la Mr zero wewe umekomalia mabondeni kutafuta nini.

Mimi hapa naelekea Tanga kwenda .kugawana Shamba la EDo
 
Ubomoaji ni sahihi tatizo ni ukosefu wa busara kwa viongozi wa sasa. Hili zoezi lingeenda kiutaratibu kwa kubomoa kotekote yaani wananchi wenye nyumba na maafisa waliohusika na kuruhusu ujenzi holela. Suala la kumkumkumbuka Mkwere halina mjadala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…