Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Nilipata wakati mgumu nilipokuwa Mtwara mwaka jana hasa katika matumizi, matamshi na maana ya baadhi ya maneno ya kiswahili. Ila maana ya neno "kugoma" ilinitatiza sana na ilinichukua muda kuizoea. Wao kugoma ni "KUFOKA", sina uhakika kama maana hii ni kiswahili sanifu.