The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,136
- 1,952
Natafuta Watu wa kung'oa visiki shambani kwangu Mlandizi, shamba halina visiki vikubwa ni visiki vya miti size ya mkono wa mtu mzima.
Ukubwa ni Heka Mbili, Mtu au Watu watakaofanya hii kazi ni lazima Wakae huko huko shamba kwa kipindi chote watakachokua wakifanya hiyo kazi ili kuepuka gharama za nauli.
Kutoka Mlandizi stand hadi Shamba nauli kwa bodaboda ni 5000 Daladala 2500.
Chakula na Malazi itakuaa juu yangu mimi maana itajengwa kambi pale pale kiwanjani so baada ya kazi kuisha watu watapewa Chao wataondoka.
Kwa yeyote mwenye anajua watu wanaoweza fanya hiyo kazi Tuwasiliane kazi haihitaji watu zaidi ya wawili kwa kuokoa muda.
Ila ni kazi ya kufanya hata mtu 1.
Ukubwa ni Heka Mbili, Mtu au Watu watakaofanya hii kazi ni lazima Wakae huko huko shamba kwa kipindi chote watakachokua wakifanya hiyo kazi ili kuepuka gharama za nauli.
Kutoka Mlandizi stand hadi Shamba nauli kwa bodaboda ni 5000 Daladala 2500.
Chakula na Malazi itakuaa juu yangu mimi maana itajengwa kambi pale pale kiwanjani so baada ya kazi kuisha watu watapewa Chao wataondoka.
Kwa yeyote mwenye anajua watu wanaoweza fanya hiyo kazi Tuwasiliane kazi haihitaji watu zaidi ya wawili kwa kuokoa muda.
Ila ni kazi ya kufanya hata mtu 1.