Watu wa Kagera mnaishije? Hali ni ngumu sana huu mkoa

We una chuki binafsi na hawa jamaa. Nimetembelea sana mkoa huu na pia nimetembelea mikoa mingine pia. Kagera hasa Muleba, Karagwe na Bukoba vijini wamejenga sana migombani. Hawana hurka za kujenga Bukoba mjini lkn vijijini kwao wako vizuri huwezi kuwalinganisha na mikoa mingi hapa Tanzania..
 
Kwa mara ya kwanza nimetembelea mkoa wa Kagera, huu mkoa upo chini sana kimaendeleo, hata mjini Bukoba kupata tu sehemu ya accommodation ni shida.

Hawa ndugu zetu wakiwa mjini especially Dar es Salaam wana mbwembwe nyingi na majivuno yaliyopindukia.

Jamaa wengi wamebahatika kusoma hasa kada ya sheria, wakitoka huku wanatelekeza kila kitu.

Rudini mjenge mkoa wenu acheni show off huko mjini

Habari bila picha!!!!!
 
Muhaya huwa harudi nyumbani akitoka labda kuzika. Akifanikiwa kwanza anajenga dharau na kwao, anaishi Chicago atakumbuka muleba
 
an-elevated-view-on-bukoba-A0P0JA.jpg
 
Ametumwa na mkulu kuhakiki Kama mikoa yote wanalalamika hali ni ngumu. Halafu apeleke majumuisho. Huyo hata mkoani kwetu amepita
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Mkoa wa kagera maisha ni magumu na hali ni ngumu sana yaan watu hawana hela kabisa

Biashara zimedolola sana na hazitoki kabisa, bizaa hazina wanunuzi kabisa

Kwa hapa bukoba nimezunguka sana lakin sijaona hata muhaya mmoja ambaye hata anaduka, naona wengi ni waha, warund na wanyarwanda

Nilitembea kidogo kwenda wilaya moja inaitwa biharamulo nako sijaona wenyej kabisa

Biharamulo ndo imechangamka sana lakin napo pana wasukuma tupu ndo madon na ndo wafanya biashara wenyeji siwaon kabisa sijui wamejichimbia wapi au ndo wameuhama mkoa wao

Hali ni ngumu sana huu mkoa kutoa wilaya moja tu ya biharamulo ambayo inakaliwa na wasukuma

Wenyeji mkiwa mikoa ya watu kaz kujitapa na kingereza kumbe home hakuna kitu,

Vijijin huku nyumba ni za nyas sana bora hata vijiji vya dodoma


LONDON BABY
Kumejaa nyumba za nyas tu huko
Tupia kapicha mkuu!!!
 
We una chuki binafsi na hawa jamaa. Nimetembelea sana mkoa huu na pia nimetembelea mikoa mingine pia. Kagera hasa Muleba, Karagwe na Bukoba vijini wamejenga sana migombani. Hawana hurka za kujenga Bukoba mjini lkn vijijini kwao wako vizuri huwezi kuwalinganisha na mikoa mingi hapa Tanzania..
akili iwe oinamu'amagezi!

ogu manya akagya nkaa?
 
we jamaa vyovyote utakuwa msukuma. SASA unataka kulipandisha kabila lako lionekane lipo juu. ULICHOKIONGELEA hata sjakielewa eti mkoa biashara hamna kabisa zimedorora. HAPO hapo unasema hakuna wahaya wenye maduka et maduka wanayo wasukuma na muha. MBONA huo mfano hujautoa dar es salaam na wakat dar inajengwa na wageni asilimia 95. KASOME kwanza ututolee ubashite hapa.
 
Back
Top Bottom