moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Watu wa Dar bwana....
Kabla hujaenda ukimpigia simu anakwambia
karibu sana kaka ukija usiache kunitafuta....
Ukifika ukampigia kwanza anakuuliza
umefikia wapi, unamwambia nipo Kawe,
utaskia nipo Kibaha kuna issue
nashughulikia ntakuchek kesho.... Kesho
ndo hutaiona simu yake ng'oo... Ukimpigia
simu kumwambia kesho naondoka, utaskia
mbona fasta kaka, daah sema umekuja
bahati mbaya sa hv npo taiti kiaina ila ukija
tena tutamit tu...
woote sound zao hzo hzo, utadhani
mwalimu wao mmoja
Afu wao wakija huku wanapopaita mikoani,
anataka uwe nyuma yake 24/7, utadhani
mnatafuta wadhamini?... Stori zake sasa..
Hivi huku mikoani mnaishije..? hakuna
mzunguko wa hela kabisa..
Hiyo mizunguko ya hela huko Dar ingekuepo
si wote mngekua Bakhressa...
asee... acheni hizi
tabia, mnatukera sana sisi wakuja.
Kabla hujaenda ukimpigia simu anakwambia
karibu sana kaka ukija usiache kunitafuta....
Ukifika ukampigia kwanza anakuuliza
umefikia wapi, unamwambia nipo Kawe,
utaskia nipo Kibaha kuna issue
nashughulikia ntakuchek kesho.... Kesho
ndo hutaiona simu yake ng'oo... Ukimpigia
simu kumwambia kesho naondoka, utaskia
mbona fasta kaka, daah sema umekuja
bahati mbaya sa hv npo taiti kiaina ila ukija
tena tutamit tu...
woote sound zao hzo hzo, utadhani
mwalimu wao mmoja
Afu wao wakija huku wanapopaita mikoani,
anataka uwe nyuma yake 24/7, utadhani
mnatafuta wadhamini?... Stori zake sasa..
Hivi huku mikoani mnaishije..? hakuna
mzunguko wa hela kabisa..
Hiyo mizunguko ya hela huko Dar ingekuepo
si wote mngekua Bakhressa...
asee... acheni hizi
tabia, mnatukera sana sisi wakuja.