sasa umetoka huko mikono mitupu afu unataka uje kula huku, mjini kuna shamba?? 😀Hapana
Njoo kwangu nikukirimu na carolightRoho mbaya tu, kwani mimi kama ndugu yake hamuwezi kunikirimu?
dar tunaishi ila basis tu. Wenye uwezo was kuishi dar ni wachache sana. Hata wewe ukihamia huku yaleyaleeeSiamini mpaka sasa sijapata mualiko hapa mjini, bora ningekuwa kwetu ningeshaalikwa nyumba kadhaa au kuletewa msosi mpaka ghetto, lakini huku kwenu ni balaa, nimefikia kwa jamaa yangu na yeye alipata dharura akasafiri kikazi, akaniacha peke yangu nikategemea labda majirani watanijali lakini waaaaapi, mpaka sasa ngoma drooo, patupu bora kesho nirudi kwetu kolomije, nilikuja kutibiwa nishaponaa.
Lakini ikitokea shida wanajidai wananijua, wameenda disco usiku eti wanadai niwalindie nyumba, sasa kama hawatambui umuhimu wangu si wangenipotezea mkuu, uninyime pilau sahani ya buku jero lakini unikabidhi nyumba ya mamilioni nikulindie? Akili zenu zina shida mahaliRafiki wa ndugu yako, siyo lazima wawe na urafiki wa wewe pia...
Unless labda ujipendekeze...
Cc: mahondaw
Mbona mkija mikoani hatujali hilo mkuu, acheni roho mbayasasa umetoka huko mikono mitupu afu unataka uje kula huku, mjini kuna shamba?? 😀
Sio roho mbaya hali tu ndio inafanya hivi, hatuna kitu mkiwa mnakuja muwe mnatukumbuka wenzenuMbona mkija mikoani hatujali hilo mkuu, acheni roho mbaya
Hahaha... Wamekuona wa mikoani unafaa kuwa sungu sungu...Lakini ikitokea shida wanajidai wananijua, wameenda disco usiku eti wanadai niwalindie nyumba, sasa kama hawatambui umuhimu wangu si wangenipotezea mkuu, uninyime pilau sahani ya buku jero lakini unikabidhi nyumba ya mamilioni nikulindie? Akili zenu zina shida mahali
Sawa mkuu, lakini hii ni sikukuu ambayo ni mara moja kwa mwaka, ndo maana siku za kawaida siwezi kulalamika kunyimwa chakula, niko vizuri sina njaa nilikuja nimejipanga kilichonishangaza ni kukosa ukarimu kwa watu wa darSio roho mbaya hali tu ndio inafanya hivi, hatuna kitu mkiwa mnakuja muwe mnatukumbuka wenzenu
Pita hapa kwangu ule pilau jogooSawa mkuu, lakini hii ni sikukuu ambayo ni mara moja kwa mwaka, ndo maana siku za kawaida siwezi kulalamika kunyimwa chakula, niko vizuri sina njaa nilikuja nimejipanga kilichonishangaza ni kukosa ukarimu kwa watu wa dar
Ha ha ha ajabu hapo ndo wameona me wa muhimu lakini pilau wakaninyima, like tuangalizie nyumba tunatoka kidogo niliwatukana sana kimoyo moyo
Mliowahi kutapeliwa na kijana Kitomali wa Wazo, Dar nimemtia mbaroniNdo nani huyo na kipi kilimpata mkuu