Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 624
Siamini mpaka sasa sijapata mualiko hapa mjini, bora ningekuwa kwetu ningeshaalikwa nyumba kadhaa au kuletewa msosi mpaka ghetto, lakini huku kwenu ni balaa, nimefikia kwa jamaa yangu na yeye alipata dharura akasafiri kikazi, akaniacha peke yangu nikategemea labda majirani watanijali lakini waaaaapi, mpaka sasa ngoma drooo, patupu bora kesho nirudi kwetu kolomije, nilikuja kutibiwa nishaponaa.