Watu, Taasisi, na Mifumo...

Hata Hosni Mubarak alitumia jeshi kutaka kuzima maandamano.

Kilichotokea wote tunajua. Na huyo ni mtu aliyekaa madarakani karibu miaka 30!

Come on Mangi. You need to get rid of that defeatist attitude.
Kwenye Taifa ambalo watoto wa Shule bado wanachapwa bakora sana unadhani kuna lolote? Hata hizo nchi nyingi zao ni za kiislam, wale wale wako tofauti sana. Tena ukute wanapata maoni kutoka kwenye nyumba za ibada, wako tayari kwa lolote. Huwezi kupata suicide bomber ama wa kujichoma moto bongo.
 
Mangi, unarudi kulekule kwenye hoja yangu.

Tukitaka mabadiliko ya kweli basi lazima tubadili na mindset.

Hatuwezi kupata mabadiliko tunayoyatamani, kama tukiendelea na hizi mindset za kikondoo!!!

Huko ilikowezekana, nao ni binadamu tu kama sisi.

Tukiamua tunaweza.

We just need to get over that fear factor.
 
Hahahaaaa. Unachosema ni kweli.

Lakini pia ukweli unabaki pale pale kwamba, tusipobadilika kifikra, hatutofika popote pale.

Tuache ukondoo.
 
Walinda legacy wa mwendazake wekeni ma brush chini sasa,ameshaenda zake na tumeshaachana naye,pumzikeni sasa
 
Walinda legacy wa mwendazake wekeni ma brush chini sasa,ameshaenda zake na tumeshaachana naye,pumzikeni sasa
What has this got to do with anything here?

Pathetic obsessed little punk.
 
Mambo ya msingi umeongea NN, lakini kubadilika kifikra si mbadala wa katiba mpya, tupate katiba mpya, mengine yafuate.

Yawezekana katiba mpya isitusaidie "sana" lakini hii ya sasa ndio haitusaidii "kabisa". Imagine watu wenye kinga ya kutokushitakiwa ni wangapi? Ikipatikana katiba mpya iliyoondolewa hicho kipengele hata mimi na wewe tunaweza kufile mashitaka, ile tu viongozi fulani fulani wakiona wanaweza kushitakiwa hata kama ni miungu watu kiasi gani wataanza polepole kubadilika kifikra.


Kubadilika kifikra ni process ndefu, katiba ni process fupi, Katiba ikiwa bora itasaidia kushape fikra za watu (si kwa asilimia zote).
 
Hivi arobaoni ya mwendazake lini?
 
Well said.
 
Nyani Ngabu, umeleta mada tunduizu bora ya mjadala mpana wa Mapinduzi ya kifikra. Bila mabadiliko hatuwezi kwenda mbele. Mada hii ni ya kiharakati.

Na uanaharakati unaanza pale tunapotaka kufanya tofauti, lengo ni kuleta mambo chanya katika ktk maeneo ya Haki, Uhuru na Maendeleo ya Watu kiuchumi na kijamii.

N.B
Ziada iliyoletwa JF :

 
Tungekuona una akili haya ungeyasema kipindi kile Cha msukuma mwenzio magufuli,
Lakini kipindi kile ulikuwa unademka uku umeshika kiuno kumsifia ndugu yako kwa kila jambo
 
expand...
Hapa ndiyo kuna tatizo kubwa kwa Africa ambalo Barack Obama aliliona alipohutubia Bunge la Ghana mwaka 2009 na akasema "Africa doesn't need strongmen, it needs strong institutions."
Ukiwa na strongman akifa na mambo yake YANAKUFA. Lakini Strong Institutions hata Rais akifa zenyewe zinabakia.

Mfano wa strong institutions ni Katiba ya Wananchi, Tume Huru ya Uchaguzi, Mahakama Huru na Bunge Huru. Vile vile TISS inayolinda masilahi ya nchi na siyo ya Rais, Jeshi, Polisi na Magereza.

Kwa Afrika nchi zenye Strong institutions ni Afrika Kusini, Kenya, Egypt.

Maguvu ya Magufuli yalisababisha Bunge liwe butu, Mahakama iwe imamuogopa yeye. Maguvu yakamfanya ajenge kiwanja cha ndege kijijini kwake na kumteua mtoto wa Dada yake Dotto James kuwa Mlipaji Mkuu wa Serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…