Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umejuaje........?Siku hizi hiyo haipo, ukimtekenya tu anajifanya ameangukia kifuani kwako na aissssssssss nyingiiiii.
Sister aisifuye mvua imemnyea.umejuaje........?
Ameline nitake radhi bhana.mmm siku hizi hata wanaume hawajui kutongoza wanaishia tu kumaliza hela zao, yaan wanafanya vitendo tu sound hawana na watoto wa kike wantongozeka kirahis sana asubuhi jion tayari kakubali na kashamvulia mh , na wanaume pia hawajui kusoma alama za nyakati, bint hapo ameshakunja mguu na anauma kidole sasa anasubiri nini? ombi lake tayari limekubaliwa
Amekunja mguu kuzuia michirizi isishuke chini huko juu mafuriko.mmm siku hizi hata wanaume hawajui kutongoza wanaishia tu kumaliza hela zao, yaan wanafanya vitendo tu sound hawana na watoto wa kike wantongozeka kirahis sana asubuhi jion tayari kakubali na kashamvulia mh , na wanaume pia hawajui kusoma alama za nyakati, bint hapo ameshakunja mguu na anauma kidole sasa anasubiri nini? ombi lake tayari limekubaliwa
kwahiyo hapo tunaongelea uzoefu.......haya bwana.Sister aisifuye mvua imemnyea.
yani kutongozwa tu mafuriko tayari........hapo hajashikwa popote.Amekunja mguu kuzuia michirizi isishuke chini huko juu mafuriko.
Dada kuna watu wana mashairi matamu kama Diwani ya Shaban Robert.yani kutongozwa tu mafuriko tayari........hapo hajashikwa popote.
Hahahahahahahahahahaha.....tumetoka mbali Sister acha watu watulie waachie vijana.kwahiyo hapo tunaongelea uzoefu.......haya bwana.
Amekunja mguu kuzuia michirizi isishuke chini huko juu mafuriko.
Mkuu Copper habari za asubuhi? Nyumbani hawajambo? Karibu jamvini sisi tuliwahi kidogo.Lugha ya kiungwana hii.
Mkuu grafani11, tnx sana, hiyo lugha nimeipenda kwa kuwa haina ukakasi. Siku njema.Mkuu Copper habari za asubuhi? Nyumbani hawajambo? Karibu jamvini sisi tuliwahi kidogo.
oooh Kumradhi mheshimiwa grafani11Ameline nitake radhi bhana.
Mimi Simba wajameni swala aliyekufa mwenyewe sikuli.