PreGE2025 Watu makini mlioko CHADEMA mchukulieni Heche fomu ya Makamu M/Kiti Taifa aungane Lissu kwa mabadiliko ndai

PreGE2025 Watu makini mlioko CHADEMA mchukulieni Heche fomu ya Makamu M/Kiti Taifa aungane Lissu kwa mabadiliko ndai

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
3,772
Reaction score
4,913
INGAwa Mwenye kiti Mbowe amejitahidi kuzima watu makini kwa muda mrefu ili abaki yeye peke yake lakini bado naamini wapo watu makini

Nashauri wajitokeze watu makini NDANI ya chadema wamchukulie Heche fomu ya makamu

Mbowe bila aibu anataka kutuaminisha kwamba Chadema inamtegemea yeye peke yake kuliko Mfumo wake

Hii inatosha kabisa kumuondoa kwenye hiyo nafasi , kwa kujenga chama kinachomtegemea MTU mmoja.

Maanake akifa au akiondoka na chama kife ni kiwango kikubwa Cha ubinafsi kisichotakiwa kwenye public party

Ikiwezekana tuiteshe mchango humu humu tumchangie Heche
 
INGAwa naamini Heche angeuaweza uenyekiti wa Chadema lakini kwa Sasa umuunge mkono Lisu wamng'oe One man show kwanza wajenge chama Cha Mfumo
 
Hongera John Heche
Nhongera pia kwa waliomshauri kuchukua fomu na kumtia Moyo

Nasikia kufarijika Sana team Lisu na Heche ni upinzani imara
 
INGAwa bado naona Heche anamudu vizuri nafasi ya uenyekiti kuliko Lisu
 
INGAwa Mwenye kiti Mbowe amejitahidi kuzima watu makini kwa muda mrefu ili abaki yeye peke yake lakini bado naamini wapo watu makini

Nashauri wajitokeze watu makini NDANI ya chadema wamchukulie Heche fomu ya makamu

Mbowe bila aibu anataka kutuaminisha kwamba Chadema inamtegemea yeye peke yake kuliko Mfumo wake

Hii inatosha kabisa kumuondoa kwenye hiyo nafasi , kwa kujenga chama kinachomtegemea MTU mmoja.

Maanake akifa au akiondoka na chama kife ni kiwango kikubwa Cha ubinafsi kisichotakiwa kwenye public party

Ikiwezekana tuiteshe mchango humu humu tumchangie Heche
naona safari hii chadema kunawaka moto wa gesi
 
Nafurahi kuona watu makini
Walimchukkulie Heche fomu na
Mageuzi tulioyatamani NDANI ya chadema yalitokea
 
Back
Top Bottom