Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,494
- 37,787
Kumbe Manabii bado wapo.Naona ANGUKO KUU LA Paul Makonda.
Atatafuta njia ya kupita,atakuwa amechelewa
Atalitafuta Jeshi linalomzunguka sasa,,,Hataliona tena.
Ataomba Msaada kwa Baba yake,ambaye muda huo atakuwa ameji quarantine CHATO,,,,hatasaidiwa
Mungu alivyo muaminifu,yoote atakayotaka kufanya ili kuiokoa nafsi yake,,,ATAKUWA AMECHELEWA.
NOTE MY WORDS.