watu 200 wamepokea hii text

watu 200 wamepokea hii text

Masanilo

Platinum Member
Joined
Oct 2, 2007
Posts
22,283
Reaction score
4,553
Ikiwa Rais Obama amekaa madarakani miaka 4 na kufanya jumla ya safari 32 na kutakiwa kutaja faida ya kila safari ndipo apate uhalali wa kuchaguliwa tena, Nyerere alikaa madarakani miaka 25 na kufanya jumla ya safari 68 tu, Ndg. JK Amekuwa madarakani kwa muda miaka 7 na kufanya jumla ya safar 322,Je nini kifanyike kudhibiti mfumuko wa safari kwa Rais wetu? Je,Lini atatoa maelezo ya faida za safari hizo?
 
Tatizo hao wa kwenu hata kuzika hawaendi ndio maana
hawaoni umuhimu wa safari.
 
Ikiwa Rais Obama amekaa madarakani miaka 4 na kufanya jumla ya sfr 32 na kutakiwa kutaja faida ya kila safari ndipo apate uhalali wa kuchaguliwa tena, Nyerere alikaa madarakani miaka 25 na kufanya jumla ya safari 68 tu, Ndg. JK Amekuwa madarakani kwa muda miaka 7 na kufanya jumla ya safar 322,Je nini kifanyike kudhibiti mfumuko wa sfr kwa Rais wetu?Je,Lini atatoa maelezo ya faida za safari hizo?
Tuandamane kumtoa madarakani. Safari moja inagharimu si chini ya milioni 50, mara hizo safari 322 hapo unaongelea pesa ambayo ingetosha kujenga vitu 200 vya afya huko vijijini. We better kick him out.
 
Muulize kwanza Obama kwa nini aliruhusu Bi Hilal Clinton afanye safari zaidi ya 900 katika miaka 4.
 
Tuandamane kumtoa madarakani. Safari moja inagharimu si chini ya milioni 50, mara hizo safari 322 hapo unaongelea pesa ambayo ingetosha kujenga vitu 200 vya afya huko vijijini. We better kick him out.

Jaribuni ndio mtajua nidhamu ya JWTZ na kikosi kitiifu cha MP hakija fanya kazi toka vita vya Kagera.
 
Mmmmh Ritz safari 900? Huyo basi hashindi nyumbani maana hizo safari zinachukua zaidi ya siku 900 karibia miaka 3 au unahesabu za ndani ya States
 
Last edited by a moderator:
Kwani clintoni si waziri wa mambo ya nje! Je Kikwete ni waziri wa mambo ya nje?
 
Tofautisha kazi ya waziri wa mambo ya nje na Raisi.vipi Ritz haupo kizota?
 
Muulize kwanza Obama kwa nini aliruhusu Bi Hilal Clinton afanye safari zaidi ya 900 katika miaka 4.
Ni heri kukaa kimya hakuna atakayejua kama wewe una uwezo mdogo sana wa kufikiri na kulinganisha kuliko kuandika na kuonyesha uwezo finyu wako wa kufikiri na kulinganisha!!
 
Kwa hiyo?kila mtu ana utaratibu wake wa kazi,kikwete si obama na obama si kikwete na tanzania si marekani
 
Wadhaifuuu wachooovuuU mafisadiii tumewapiga bao jana na leo mlie tuu nendeni ulaya mkale dripu!
 
Tunatakiwa tukubali ukweli kuwa jk amekuwa na safari nyingi sana katika historia ya maraisi wa nchi hii, na iko wazi kuwa baadhi ya safari zake hazina tija kwa taifa zaidi ya kuwa zimemsaidia sana yeye binafsi katika kuijua dunia. Zimekuwa safari za yeye binafsi kutaka aonekane (na suti zake), kumkomboa DOGO aliyeshikiliwa HongK!...na mengine mengi, anastahili kudhibitiwa.
 
Ikiwa Rais Obama amekaa madarakani miaka 4 na kufanya jumla ya sfr 32 na kutakiwa kutaja faida ya kila safari ndipo apate uhalali wa kuchaguliwa tena, Nyerere alikaa madarakani miaka 25 na kufanya jumla ya safari 68 tu, Ndg. JK Amekuwa madarakani kwa muda miaka 7 na kufanya jumla ya safar 322,Je nini kifanyike kudhibiti mfumuko wa sfr kwa Rais wetu?Je,Lini atatoa maelezo ya faida za safari hizo?

Anajivunia USAHAULIFU wa watanzania maana kama yeye na UDHAIFU na kapewa URAHISI ana amini Kilaza atakae mwachia nae Wata mchakachulua matokeo na watanzania tutanung'unika tena bila kuchukua hatua hata hizi safari 400(kwa kipindi hicho) hatuta-zifikiria.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom