issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,795
- 5,252
Watu wapatao 20 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa vibaya sana baada ya basi la Nyehunge (au Luhuye) kutoka Musoma kwenda mwanza kuacha njia na kugonga nyumba kisha kupinduka katika kijiji cha itimila/Itumila A wilayani Busega mkoani simiyu
Chanzo: ITV breaking news
---------------------------------
Chanzo: ITV breaking news
---------------------------------