Watu 10 wenye million 1kila mmoja wanaitajika

Watu 10 wenye million 1kila mmoja wanaitajika

Webb

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
425
Reaction score
884
Wakuu, mimi kama kijana wa kitanzania nimekuja na wazo, yawezekana nikawa sipo sahihi naombeni mnirekebishe

Nataka tujikusanye watu 10 ambapo kila mtu atakua na million 1,kwaiyo jumla tutakua na million 10.

Kwa sasa sina wazo sahihi la nini tufanye, lakini ninachoamini million10 inatosha kufanya kitu, vijana ambao tumejitaidi kupata million 1 hatushindwi kukusanya nguvu zetu na kufanya kitu.


Muongozo


Napenda apa tuwekane sawa, kwa haraka haraka watu 10 kwenye million 10 ni wengi sana kuendana na kipato kitakacho kuwa kinapatikana.


Nini kifanyike?


Iyo million 1 isiwe chanzo cha mapato yako, inabidi iwe akiba ili atakama faida ni kidogo usiyumbe kiuchumi


Wazo la biashara

Wakuu apa nashauri iwe biashara inayolinda mtaji ata Kama faida ni kidogo.

Biashara ambayo ukiamua kuivunja kila mtu anaondoka na haki yake bila kupunjana wa kudhurumiana.

Wakuu nategemea michango yenu ya mawazo katika kufanikisha hili


Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
bila feasible project idea mtafeli asubuhi kabla ya saa nne.
pesa ni kama mafuta kwenye gari , ukiwa na mafuta bila kujua bila chombo kufeli hakuna mbadala. yanaweza kukulipukia tu.
 
Naona muandikishane mkataba kabisa mkifikia kama mkifanikiwa kufika hiyo stage maana tabia za watu zinabadilika sana kwenye hela
 
Wakuu, mimi kama kijana wa kitanzania nimekuja na wazo, yawezekana nikawa sipo sahihi naombeni mnirekebishe

Nataka tujikusanye watu 10 ambapo kila mtu atakua na million 1,kwaiyo jumla tutakua na million 10.

Kwa sasa sina wazo sahihi la nini tufanye, lakini ninachoamini million10 inatosha kufanya kitu, vijana ambao tumejitaidi kupata million 1 hatushindwi kukusanya nguvu zetu na kufanya kitu.


Muongozo


Napenda apa tuwekane sawa, kwa haraka haraka watu 10 kwenye million 10 ni wengi sana kuendana na kipato kitakacho kuwa kinapatikana.


Nini kifanyike?


Iyo million 1 isiwe chanzo cha mapato yako, inabidi iwe akiba ili atakama faida ni kidogo usiyumbe kiuchumi


Wazo la biashara

Wakuu apa nashauri iwe biashara inayolinda mtaji ata Kama faida ni kidogo.

Biashara ambayo ukiamua kuivunja kila mtu anaondoka na haki yake bila kupunjana wa kudhurumiana.

Wakuu nategemea michango yenu ya mawazo katika kufanikisha hili


Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Rubii angalia hapo.

brain is the beautiful part of the body.
 
Wakuu, mimi kama kijana wa kitanzania nimekuja na wazo, yawezekana nikawa sipo sahihi naombeni mnirekebishe

Nataka tujikusanye watu 10 ambapo kila mtu atakua na million 1,kwaiyo jumla tutakua na million 10.

Kwa sasa sina wazo sahihi la nini tufanye, lakini ninachoamini million10 inatosha kufanya kitu, vijana ambao tumejitaidi kupata million 1 hatushindwi kukusanya nguvu zetu na kufanya kitu.


Muongozo


Napenda apa tuwekane sawa, kwa haraka haraka watu 10 kwenye million 10 ni wengi sana kuendana na kipato kitakacho kuwa kinapatikana.


Nini kifanyike?


Iyo million 1 isiwe chanzo cha mapato yako, inabidi iwe akiba ili atakama faida ni kidogo usiyumbe kiuchumi


Wazo la biashara

Wakuu apa nashauri iwe biashara inayolinda mtaji ata Kama faida ni kidogo.

Biashara ambayo ukiamua kuivunja kila mtu anaondoka na haki yake bila kupunjana wa kudhurumiana.

Wakuu nategemea michango yenu ya mawazo katika kufanikisha hili


Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Idea nzuri. Wazungu daily wanatumia hii mbinu ndo maana unaona ma club makubwa ya soka, ma business makubwa makubwa iliyoasisiwa tangu miaka ya 1900 huko nyuma huko.

Am sure 10m huweza ku generate 2ml kwa kila mwezi kama minimum ikitumika vema. Hapo ndani ya miezi 5 tu kila mtu kareshewa capital yake mnaendelea kumbwela na faida sasa ilete faida zaidi na zaidi

Ila changamoto kubwa kubwa kubwa kubwa kubwa kubwa kuliko yote sio idea ya business bali upigaji. Watz wanapenda sana upigaji. Hapo tu.
 
Back
Top Bottom