Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,861
Msemaji wa Jeshi Polisi Nchini Uganda Vincent Twesige amesema wanamgambo wanaohusishwa na kundi lenye itikadi kali (Islamic State) wamewachoma moto watu 10 hadi kufa katika shambulizi lililofanywa kusini magharibi mwa nchi hiyo.
Inaelezwa kuwa wanamgambo hao kutoka kundi la ADF ni miongoni mwa makundi ya wanamgambo waliouwa zaidi katika eneo lenye mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, waasi hao wamevuka mpaka na kushambulia kituo cha biashara Kamwenge.
Chanzo: The Citizen
Inaelezwa kuwa wanamgambo hao kutoka kundi la ADF ni miongoni mwa makundi ya wanamgambo waliouwa zaidi katika eneo lenye mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, waasi hao wamevuka mpaka na kushambulia kituo cha biashara Kamwenge.
Chanzo: The Citizen